N NIMEONA JF-Expert Member Joined Aug 4, 2019 Posts 3,854 Reaction score 5,714 Jan 2, 2024 #1 Najua nyie ni watu wazima wenzangu mmeshanielewa. Naomba mnijibu tu.
Morning_star JF-Expert Member Joined Apr 21, 2018 Posts 6,009 Reaction score 17,461 Jan 2, 2024 #2 Sasa unavunga nini? Umefumaniwa na mke wa mtu ukajificha chumba cha watoto au? Unawauliza watoto kama wameshaondoka au????
Sasa unavunga nini? Umefumaniwa na mke wa mtu ukajificha chumba cha watoto au? Unawauliza watoto kama wameshaondoka au????