Hivi wanawake mna shida gani?

Hivi wanawake mna shida gani?

Zekidon

JF-Expert Member
Joined
May 29, 2013
Posts
1,903
Reaction score
569
Nashindwa kuwaelewa ujue, mbona mnazeeka mapema hivi tatizo nini juzi i met this woman ambaye tukiwa sekondari nilikua natumia muda mwingi sana kumwandikia barua kumfuata kwao weekend.

Vurugu zote zile za ujana. aisee amekua kama my ganny! naona hata aibu kuwaza kuwa huyu ndio yule aisee jipendeni basi hata kidogo.
 
Stress za maisha hizo mkuu!Mwanamke anataka matunzo sio mazoezi tu hata lishe mavazi na mambo mengine madogomadogo na umaskini wetu wa tz + jua kali lazima uzeeke kabla wakati wako!!
 
nashindwa kuwaelewa ujue?? mbona mnazeeka mapema hivi?? tatizo nini?? juzi i met this woman ambaye tukiwa sekondari nilikua natumia muda mwingi sana kumwandikia barua kumfuata kwao weekend na vurugu zote zile za ujana. aisee amekua kama my ganny!! naona hata aibu kuwaza kuwa huyu ndio yule??? aisee jipendeni basi hata kidogo.

hahaahaaaa! chezea maisha wewe!
plus kuzaa asubuh, mchana na jion!!! lazma ukongoroke halaf wanaume haooooo! kwa viform two tobaaaaa
 
Ungemuuliza ana watoto wangapi ndio ungepata jibu. mwanamke anapaswa atunzwe atunzike, sio mwanaume unamtreat mke kama mpo jeshini, au wewe baba yake khaa! sura itaacha kukunjamana, hapo bado kuzaa. kila siku tumbo kuleeee kisa mnajaza dunia, aisee hapo lazima mwanamke awe bibi hasa akiwa nayeye ana uchafu wake wa asili ndio shida juu ya sheeeeeeedah!
 
Stress zilizoletwa na CCM ndio sababu kubwa watu kuzeeka mapema.
 
Ungemuuliza ana watoto wangapi ndio ungepata jibu. mwanamke anapaswa atunzwe atunzike, sio mwanaume unamtreat mke kama mpo jeshini, au wewe baba yake khaa! sura itaacha kukunjamana, hapo bado kuzaa. kila siku tumbo kuleeee kisa mnajaza dunia, aisee hapo lazima mwanamke awe bibi hasa akiwa nayeye ana uchafu wake wa asili ndio shida juu ya sheeeeeeedah!

hivi huwa nini kinatokea baada ya ndoa maana kabla ya hapo mapenzi yanakuwa motomoto kwa wahusika.
 
Stress za maisha hizo mkuu!Mwanamke anataka matunzo sio mazoezi tu hata lishe mavazi na mambo mengine madogomadogo na umaskini wetu wa tz + jua kali lazima uzeeke kabla wakati wako!!


ni kweli uyasemayo mkuu. huwezi amini anavyoonekana kwa sasa na siwezi amini kua ndiye niliekua namuota back in the days. wakati mwingine life isnt fair at all.
 
Wanafanya mapenzi hovyohovyo na wanaume tofauti. Sperms ni sumu. Zinaleta makunyanzi... Wakitulize.
 
Mtu kwa wiki anapigwa na wanaume wa 3,, tena wanaokula nyagi... Unategemea nini. Lazma awe bibi.
 
Maisha, uzazi ukichanganya hakuna matunzo na njia za uzazi nazo zinachangia
 
Back
Top Bottom