Hivi wanawake mna nini?

Hivi wanawake mna nini?

katoto kazuri

JF-Expert Member
Joined
Feb 10, 2018
Posts
6,126
Reaction score
5,756
Wanawake ni watu wakuwaangalia kwa jicho la nyuma. Mimi nimeolewa nanina mume wangu tuko pamoja huu ni mwaka wapili tunakaribia .

Sisi tunafamily friends wetu kama nyumba 3 wote ni watu wanajiheshimu ila kuna huyu mama hana hata haya tukiwa gethering yeye humganda mume wangu nakuwa kama wake.

Simu haziachi kuita kila saa sijui anataka nini. Nikimuuliza mume wangu anasababu za hapa na pale. Unakuwa unamvumilia mtu mpaka,kumbuka kuna yule mshenzi mmoja kamchukua kabisa mume wangu ila hujua kuficha uchafu wake huwezi mnasa. Ila hadi huyu sasa anamtakia nini mume wangu mbona wao siangaiki na waume zao?

Nimechoka kabisa. Maisha haya bora usifuatilie mamboo ila ukiacha tena kutomfuatilia nakuvaa husika kama mke utachezewa sana.

Mwanamke anamuacha mumewe kazi kumganda wangu wake anamuachia nani sasa. Masaa yote baba fulani baba fulani ngoja baba fulani aje atanisaidia .

Na mume wangu huitwa tu kama pia nalo hilo. Linaenda kama zuzu, mimi kila kitu ninacho vyotee ambavyo mume anavutiwa. Ila kutwa kubadilisha wanawake bora hajajiabisha kwa wasichana wakazi.

Wewe mwanamke umeolewa unafamilia yako kutwa kuganda wanaume za watu kama huridhiki sio lazima uonyeshe mi nyege yako kwa wanaume za watu. Kuweni na haya hamtulii viben ten nyie , wazee nyie wakaka wa makamu nyie. Hivi unahimilije?

Yaani wamenichosha akili sijui huyu mume wangu wanamuonaje, yaani ni mume wangu tu watu wamgande nasio mdogo ni mzee eti. Ila baba fulani nani kila mama anamuhangaikia. Yaani siendi tena jumuia ya familia aende huko akapapaswe. Walai inaniuma sana ila sina jinsi.

Tukienda mgahawani wasichana wanamtizama kwa macho ya mahaba. Hadi manesi wananipa huduma ya haraka kisa yeye, benki na sasa hadi hardware. Yaani kila mahali nimechoka naombeni ushauri kunatime mtu anahitaji hili.
 
Usimlaumu huyo mama anayemganda mumeo. Lawama zote zielekeze kwa mumeo. Angekuwa hataki kugandwa na huyo mama wala wasingegandana.

Mumeo kuna kitu anachokipenda/anachokitaka kwa huyo mama ambacho pengine wewe huna/humpatii. Kaa naye kitako umuulize atakwambia tu. Na mwambie wazi kuwa hupendi anavyogandana na huyo mama. Kama anakuheshimu atakusikiliza.

Nasisitiza tena. Mumeo ndiyo furushi na siyo huyo mama
 
ulipoanza nilidhani tatizo labda uliwahi wasimulia ufundi wake kwa bed bt ulipofika hadi bank, hardware na nk... basi hapo tatizo mumeo amejaliwa nyota ya mvuto ndo maana anamvutia kila ke hivo nakushauri uwe mstahmilivu pia uwapo nae ndani jaribu kumweka wazi kua unajisikia vibaya anapoonesha ushirikiano kwa wanaomuita nadhan kama atakua ni muelewa atakuelewa na ataidhibiti hiyo hali.
 
ulipoanza nilidhani tatizo labda uliwahi wasimulia ufundi wake kwa bed bt ulipofika hadi bank, hardware na nk... basi hapo tatizo mumeo amejaliwa nyota ya mvuto ndo maana anamvutia kila ke hivo nakushauri uwe mstahmilivu pia uwapo nae ndani jaribu kumweka wazi kua unajisikia vibaya anapoonesha ushirikiano kwa wanaomuita nadhan kama atakua ni muelewa atakuelewa na ataidhibiti hiyo hali.
Hilo nalo neno sasa je nimtumie kwa faida yangu kama tik tok nimtoe humu au instagram au facebook ili nipate hela .
Awe ni mvuto kwa jamii.
Maana nimechoka
 
Usimlaumu huyo mama anayemganda mumeo. Lawama zote zielekeze kwa mumeo. Angekuwa hataki kugandwa na huyo mama wala wasingegandana.

Mumeo kuna kitu anachokipenda/anachokitaka kwa huyo mama ambacho pengine wewe huna/humpatii. Kaa naye kitako umuulize atakwambia tu. Na mwambie wazi kuwa hupendi anavyogandana na huyo mama. Kama anakuheshimu atakusikiliza.

Nasisitiza tena. Mumeo ndiyo furushi na siyo huyo mama
Mume wangu kweli ni unguza kichwa .
 
Fatilia nyendo za mumeo vizuri
Nimemchunguza nimechoka kabisa
Anamke mkubwa ambaye waliachana bi mkubwa alienda kuoelewa na mzungu.
2.Anakimada njee mwenye mtoto
3.Anamfurukuta mke wa best yake .
4.Kila tukienda mahali hunipa stress .
Watoto wa bi mkubwa ni wakubwa wapo 4 na wangu mapacha 2 halafu kimada mmoja jumla 7 anao huyo .
Ni kimeo ila ndio mume halali wa katoto kazuri
 
Wewe mvuto wa mwanaume wa kazi gani?
Mwanaume mashine mwanaume hela.
Embu kamgande huyo baba umkomoe bishosti.
Ninae mchepuko tena huyo ambaye mke wake anamfanya mume wangu mchepuko wake kama ukirejea nyuma nilisema kuwa nilidaka mesage za mapenzi kwenye simu yake mume wangu
 
Mbona yeye hajaandika uzi ulivyokuwa unamganda yule mwarabu wa supermarket!?
 
Back
Top Bottom