Dumelambegu
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 1,052
- 257
Ni swali dogo tu wazee. Mimi napenda 6 japo nimeona mara nyingi 8 ndiyo inayongelewa sana.
Zero je? naona hii inahusu wanaume tu kama wanawake tumo mie napenda namba 9
Mmhhh 9!!! Nadhani utakuwa ni wewe pekee yako unayeipenda kwa hapa bongo. Labda unaweza kupata wafuasi huko ulaya.[/QUOT
Wewe mwanamme anatakiwa awe namba Tisa yaani mambo ya shoulder zilizokwenda shule chini mdogo kiasi
Hahahahahahahaa wewe namba moja nini ndugu yangu, kweli kabisa unalosema mara nyingi tuvipendavyo sivyo tuvipatavyoKila mtu ana chaguo lake wengine hawapendi namba sijui tisa wanapenda tabia na hulka ya mtu mwenyewe.
Hii namba huwa inaumiza sana pelvic gnamba 1 ndo nzuri.. Hiyo haina complication
Hahahaha wewe GagaHahahahahahahaa wewe namba moja nini ndugu yangu, kweli kabisa unalosema mara nyingi tuvipendavyo sivyo tuvipatavyo
Na ile post yako ya kuongeza calorie ndio nacoclude wewe ni namba 1.... teheteheHahahaha wewe Gaga
kweli lakini, ila mwili nao ni kichocheo inategemea unavutiwa na wa aina ganiMe siangaliii namba bana,naangalia utendaji wa kazi tu,hizo kaeni nazo wenyewe.
Kila mtu ana chaguo lake wengine hawapendi namba sijui tisa wanapenda tabia na hulka ya mtu mwenyewe.