Hivi wanaume nao huandaliwa kabla ya tendo?

Steven mushi mushi

JF-Expert Member
Jul 25, 2016
533
737
Leo mchana wakati napata lunch katika moja ya mgahawa katika jiji la Arusha nilisikia wanawake wawili walioketi pembeni yangu wakipiga stori mbalimbali za mapenzi.

Nikasikia mmojawao akilalamika kuwa mister wake huchelewa sana kufika kileleni wakati wa kuduu na mwenzake akaanza kumpa moyo kuwa mwanaume kama alivyo mwanamke asipoandaliwa vyema basi huchelewa kufika au kutokufika kabisa na akampa mbinu mbalimbali jinsi ya kumuandaa mister wake kabla ya tendo.

Binafsi niliposikia mwenzake akimwambia kuwa labda huenda hamwandai mume wake vizuri nilishtuka sana na kujiuliza hivi wanaume nao huandaliwa kabla ya tendo?

Binafsi kwa upande wangu sijawahi kuandaliwa na mpenzi wangu, mara zote mimi huwa ndo namuandaa na akishakuwa tayari basi na mimi najikuta nipo tayari na hapo mtanange huchukua nafasi yake.

Hebu wanaume wenzangu wahumu JF nielewesheni juu ya hili, je nyie huwa mnaandaliwa na wake zenu au wachumba kabla ya tendo? Au huyu dada aliyekuwa anamwelezea mwenzake alikuwa anataka aonekane hodari tu mbele ya mwenzake? Au haya mambo yapo ila mpenzi wangu ndo hayajui?

Maoni yenu tafadhali kwa wenye wachumba na walioko kwenye ndoa juu ya hili la kuandaliwa wanaume.
 
index.php
 
Leo mchana wakati napata lunch katika moja ya mgahawa katika jiji la Arusha niliskia wanawake wawili walioketi pembeni yangu wakipiga stori mbalimbali za mapenzi. Nikaskia mmojawao akilalamika kuwa mister wake huchelewa sana kufika kileleni wakati wakuduu na mwenzake akaanza kumpa moyo kuwa mwanaume kama alivyo mwanamke asipoandaliwa vyema basi huchelewa kufika au kutokufika kabisa na akampa mbinu mbalimbali jinsi ya kumuandaa mister wake kabla ya tendo. Binafsi niliposikia mwenzake akimwambia kuwa labda huenda hamwandai mume wake vizuri nilishtuka sana na kujiuliza hivi wanaume nao huandaliwa kabla ya tendo?, binafsi kwa upande wangu sijawahi kuandaliwa na mpenzi wangu, mara zote mimi huwa ndo namuandaa na akishakuwa tayari basi na mimi najikuta nipo tayari na hapo mtanange huchukua nafasi yake. Hebu wanaume wenzangu wahumu JF nielewesheni juu ya hili, je nyie huwa mnaandaliwa na wake zenu au wachumba kabla ya tendo? au huyu Dada aliyekuwa anamwelezea mwenzake alikuwa anataka aonekane hodari tu mbele ya mwenzake? au haya mambo yapo ila mpenzi wangu ndo hayajui? Maoni yenu tafadhali kwa wenye wachumba na walioko kwenye ndoa juu ya hili la kuandaliwa wanaume.
Ndio
 
Kwa mwanaume haina shida hata ukiamshwa usingizini unagegeda tu!
Ila kuleta ushirikiano angalau na yeye lazima akushike shike maeneo flani!
Hivi utajisikiaje wewe unahangaika kumuandaa yeye ametulia tu kama haelewi nini kinaendelea?
Nafikiri hata wewe muandaaji utakosa mzuka
 
Leo mchana wakati napata lunch katika moja ya mgahawa katika jiji la Arusha niliskia wanawake wawili walioketi pembeni yangu wakipiga stori mbalimbali za mapenzi. Nikaskia mmojawao akilalamika kuwa mister wake huchelewa sana kufika kileleni wakati wakuduu na mwenzake akaanza kumpa moyo kuwa mwanaume kama alivyo mwanamke asipoandaliwa vyema basi huchelewa kufika au kutokufika kabisa na akampa mbinu mbalimbali jinsi ya kumuandaa mister wake kabla ya tendo. Binafsi niliposikia mwenzake akimwambia kuwa labda huenda hamwandai mume wake vizuri nilishtuka sana na kujiuliza hivi wanaume nao huandaliwa kabla ya tendo?, binafsi kwa upande wangu sijawahi kuandaliwa na mpenzi wangu, mara zote mimi huwa ndo namuandaa na akishakuwa tayari basi na mimi najikuta nipo tayari na hapo mtanange huchukua nafasi yake. Hebu wanaume wenzangu wahumu JF nielewesheni juu ya hili, je nyie huwa mnaandaliwa na wake zenu au wachumba kabla ya tendo? au huyu Dada aliyekuwa anamwelezea mwenzake alikuwa anataka aonekane hodari tu mbele ya mwenzake? au haya mambo yapo ila mpenzi wangu ndo hayajui? Maoni yenu tafadhali kwa wenye wachumba na walioko kwenye ndoa juu ya hili la kuandaliwa wanaume.
kwa upande wangu nahisi maandalizi anayotakiwa kunifanyia mwanamke ni kunipunguzia stress ili nikiwa kwenye tendo niwaze ngono tu nisiwaze kama nimelala na mwanadamu nusu shetani. akili yangu ikikaa fresh, sihitaji mtu anishikeshike sijui nini ataaa, ila akinizingua kama walivyoumbwa na akili ndogo, unapiga moja tu, matatu unaenda kumalizia kwa mchepuko. sishabikii mchepuko lakini nimeshachepuka sana kwasababu hizo.
 
Leo mchana wakati napata lunch katika moja ya mgahawa katika jiji la Arusha niliskia wanawake wawili walioketi pembeni yangu wakipiga stori mbalimbali za mapenzi. Nikaskia mmojawao akilalamika kuwa mister wake huchelewa sana kufika kileleni wakati wakuduu na mwenzake akaanza kumpa moyo kuwa mwanaume kama alivyo mwanamke asipoandaliwa vyema basi huchelewa kufika au kutokufika kabisa na akampa mbinu mbalimbali jinsi ya kumuandaa mister wake kabla ya tendo. Binafsi niliposikia mwenzake akimwambia kuwa labda huenda hamwandai mume wake vizuri nilishtuka sana na kujiuliza hivi wanaume nao huandaliwa kabla ya tendo?, binafsi kwa upande wangu sijawahi kuandaliwa na mpenzi wangu, mara zote mimi huwa ndo namuandaa na akishakuwa tayari basi na mimi najikuta nipo tayari na hapo mtanange huchukua nafasi yake. Hebu wanaume wenzangu wahumu JF nielewesheni juu ya hili, je nyie huwa mnaandaliwa na wake zenu au wachumba kabla ya tendo? au huyu Dada aliyekuwa anamwelezea mwenzake alikuwa anataka aonekane hodari tu mbele ya mwenzake? au haya mambo yapo ila mpenzi wangu ndo hayajui? Maoni yenu tafadhali kwa wenye wachumba na walioko kwenye ndoa juu ya hili la kuandaliwa wanaume.
Mwanaume anaandaliwa lakini tumezoea kuwa wanawake ndo huandaliwa
 
Hakuna kitu nachukia mwanaume hasie jua maandalizi yani inaniboa sana na kibaya zaidi wengine hawapendi kufundiswa sasa kwani mapenzi ni utumwa? Uwiii hapana . ukimpigia cm mmeo kazini na kumtakia pole na kumuuliza umekula baba huko ndo kumwandaa mwanaume.nao ndio wanaandaliwa .wanawake tusijibweteke.
 
Back
Top Bottom