Ally Lipende
Member
- Dec 27, 2017
- 90
- 61
Asee nimekubali data zako😂😂😂😂TZ kuna watu milioni 55, tuanze kukokotoa.
milioni 10 wazee.
milioni 15 watoto, miaka 17 kurudi nyuma.
milioni 20 wanawake.
milioni 15 wanaume, hapa tutatoa milioni 5 ya wanaume wenye matatizo mbalimbali ambao kwa namna moja au nyingine utashindwa kufikia gololi zao, kwahiyo watabaki milioni 10 ambao ni marijali.
tuchukue 90% ya milioni 10....
90%/100 x 10000000 = 9,000,000
number don't lie, asilimia 90 ya milioni 10 ni milioni 9........kwahiyo dada yangu hiyo risechi yako ulifanya kwa watu milioni 9??????????
Kuna vitambaaa laini vya kuogeaaaa sio lazimaa brush la miguuMkuu, kweli unataka tusugue mbupu? Unajua jinsi gani zilivyo delicate? Yaani kwa jinsi zilivyokuwa soft halafu tusugue na dodoki tena kwa nguvu, hutupendi na wala hutaki ulalwe vizuri...
Yaaan urud saa 2 usiku umechokaa na bado ukaanze kuaangaliaa lijitu zimaa kama limeogaaaa achana naye huyo hajielewiNi wajibu wangu kama simsaidii kutafuta pesa wala kuhudumia familia ila ndoa za siku hizi ambazo mwanaume na mwanamke wote tunagangamala na maisha mchana kutwa
Usiku tunarudi tumechoka bado tena mnataka tukirudi tuanze kuwaangalia nyie? Na sisi nani anayetuangalia sasa?
Maana kama ni pesa wote tunatafuta na familia wote tunahudumia kwa sababu inaonekana wanaume wa siku hizi mmeshindwa kufanya hayo peke yenu sasa na sisi tunaporudi tumechoka nani atuangalie?
Hapo ndipo mnapofeli mwanamke anayetakiwa kumuangalia mumewe ni yule ambaye anashinda tu nyumbani anasubiri kuhudumiwa na mumewe hatafuti pesa wala kuhudumia familia ila sisi wengine mtakuwa mnatuonea tu
Alichukua sample katika mikoa 10 na kila mkoa alifanya utafiti na watu 50 kwahiyo utafiti wake ni sample ya watu 500.TZ kuna watu milioni 55, tuanze kukokotoa.
milioni 10 wazee.
milioni 15 watoto, miaka 17 kurudi nyuma.
milioni 20 wanawake.
milioni 15 wanaume, hapa tutatoa milioni 5 ya wanaume wenye matatizo mbalimbali ambao kwa namna moja au nyingine utashindwa kufikia gololi zao, kwahiyo watabaki milioni 10 ambao ni marijali.
tuchukue 90% ya milioni 10....
90%/100 x 10000000 = 9,000,000
number don't lie, asilimia 90 ya milioni 10 ni milioni 9........kwahiyo dada yangu hiyo risechi yako ulifanya kwa watu milioni 9??????????
Nashukuru!Kweli nakubaliana nawe
sample yako umeichukulia kwa wanaume wangp?huenda unaotaja hawako huk,kuna mdau moja hapo juu kaeleza vizur tuI wish ungenijuaa na ungejuaa hao watu hapa nazungumziaa in general wanaume wengi huko uvunguni paipo jikunjaa hampagusagi
Pamoja na yote, mbupu ni very delicate. Maji, sabuni na vidole/mkono vinatosha sana kuziosha ziwe safi bila harufu. Muhimu ni usafi endelevu.Kuna vitambaaa laini vya kuogeaaaa sio lazimaa brush la miguu
bwawa la mtera hilo lijishimo lako. kubwaaaaaaaaa halivutiiMimi mwenyewe tusi sa uyanitusi nn ww falaa
Namu wala sijakosea MambembeMimi au nani??