johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,137
Jana nimeshuhudia Jinsi Wananchi kwa mamia walivyokuwa wanatoa kero mbalimbali kwa kama wa CCM Komredi Chongolo nikabaki najiuliza Hivi Singida Wana Wabunge kweli?
Ni kama ilivyokuwa Tarime maelfu ya Wanavijiji kumuorodheshea kero zao John Heche wa Chadema kana mwamba bado ni Mbunge wao
Nchi ngumu sana hii!
Ni kama ilivyokuwa Tarime maelfu ya Wanavijiji kumuorodheshea kero zao John Heche wa Chadema kana mwamba bado ni Mbunge wao
Nchi ngumu sana hii!