Sisi kuna stage tumeruka.Unajua bei ya hiyo editing technology lkn so maproducer utawalaum bure tu hayo mavitu ni bei ghali sana mkuu hatuwezi mudu
Lazima uwe na jicho pevu kuelewa ni kwa nini jamii iko kama ilivyo.
Kuna songi lake linaitwa soldier, ni noma aiseeeeBila shaka hujaona muvi ya Bombtrack ya Dj Don Nalimison ilivyo na teknolojia za balaa
Green screen mbona kuna nyimbo zinatumia hata baadhi ya Movie za mapigano kibongobongo labda uniambie hivyo vifaa vingine.Kwa maproducer wa bongo sizani Kama sikumoja wataweza kufanya angalau kitu Kama hiiView attachment 1948867
Nyie mambo safi mnatuchukulia poa sana eehHafu anatokwa Holy Man anadownload movie wenzie wameangaika hivi.