crankshaft
JF-Expert Member
- Jun 12, 2019
- 1,410
- 3,376
Ulaya imejisimika kama mfalme wa biashara ya soka duniani kana kwamba wachezaji wote huona kufika huko ndio mafanikio ya soka duniani.
Wana kipi special hawa jamaa?
Nini kinawapa haki ya kutoa mchezaji anayeitwa bora zaidi duniani kutoka ligi zao?
Nini kinawapa haki ya kuzi rank timu na ligi zao kuwa ndio bora zaidi duniani?
ronaldo alipotua saudi arabia walimtia majungu sana kwenye media zao.
Why not asia or american teams?
Kwa jeuri ya pesa waliyonayo waarabu kwa sasa wanaweza kumchukua mchezaji yoyote pale ulaya. Hivi kwa hii trend iliyopo ya kunyakua mastaa wakubwa wa Ulaya, kuna siku wataweza kuondoa utawala wa Ulaya katika soka la dunia?
Wana kipi special hawa jamaa?
Nini kinawapa haki ya kutoa mchezaji anayeitwa bora zaidi duniani kutoka ligi zao?
Nini kinawapa haki ya kuzi rank timu na ligi zao kuwa ndio bora zaidi duniani?
ronaldo alipotua saudi arabia walimtia majungu sana kwenye media zao.
Why not asia or american teams?
Kwa jeuri ya pesa waliyonayo waarabu kwa sasa wanaweza kumchukua mchezaji yoyote pale ulaya. Hivi kwa hii trend iliyopo ya kunyakua mastaa wakubwa wa Ulaya, kuna siku wataweza kuondoa utawala wa Ulaya katika soka la dunia?