kupelwa
JF-Expert Member
- Aug 24, 2011
- 1,090
- 454
Viwanda vinajengwa na wananchi au wawekezaji. Serikali kazi yake ni kulegeza sheria zisaidie hilo suala, Basi.
Ni kweli si viwanga tu uchumi wowote hujengwa na wananchi na kidogo wawekezaji hasa wa ndaji maana wa nje napo ni kujidaganya, laki hoja hapa je umma unauwezo kuwa na mitaji toshelezi kushiriki kujenga viwanda?ba je kuna uwezeshwaji yoahelezi ki mitahi kuanzisha viwanda?kama majibu no hovyo bado hata kama kutakuwa na sheria nzuri namna gani viwanda hakuna