Mukulu wa Bakulu
JF-Expert Member
- Aug 12, 2014
- 4,052
- 12,906
1. Movie
Watu mnapoangalia movie mnafurahia kitu gani? Mfano movie ya manyoka makubwa na manyani makubwa na watu wenye mikia mabawa na mapembe wanaruka wanatembea juu ya magorofa, mara mtu ana macho matatu sijui na mambo gani, watu mnavutiwa nini kwenye mambo kama hayo? Movie kama hizo mnazifurahia au zinawafurahisha nini? Mimi kitu kinaitwa movie kimenishinda. Akili yangu imegoma kabisa kuelewa hizi movie, naona kama ni mambo ya kitoto hivi.
2. Mpira.
Kuna watu timu yake ya mpira ikifungwa anaweza asile kabisa. Kuna mshikaji nilisoma nae advance Manchester ilikuwa ikifungwa hali msosi kabisa kama mechi imechezwa kabla ya msosi wa usiku. Mbaya zaidi mipira inayowafanya watu kuwa vichaa ni ya wazungu. Mtu unapendaje mpira hivyo? Angalau mpira naweza kukaa kuangalia kama wadau wanaangalia ila sio movie.
3. Pombe
Kuna watu wanapenda pombe sana, sijawahi kujaribu kunywa pombe yoyote lakini pia sijawahi hata kutamani kuonja pombe. Nashangaa eti mtu anapenda pombe kuliko hata mwanamke, unajiuliza huyu ana kili timamu au ni shoga?
4. Mwanamke mmoja.
Mtu anakuaje na mwanamke mmoja tu maisha yako yote? Kidini(wale wa dini wanajua) na kisayansi mwanamke mmoja hatoshi kwa sababu hisia za mwanaume ziko juu zaidi ya mara 3 ya mwanamke, sasa unakuwa na mwanamke mmoja anakutoshaje?
Vitu kama hivi watu mnavipendea nini?
Watu mnapoangalia movie mnafurahia kitu gani? Mfano movie ya manyoka makubwa na manyani makubwa na watu wenye mikia mabawa na mapembe wanaruka wanatembea juu ya magorofa, mara mtu ana macho matatu sijui na mambo gani, watu mnavutiwa nini kwenye mambo kama hayo? Movie kama hizo mnazifurahia au zinawafurahisha nini? Mimi kitu kinaitwa movie kimenishinda. Akili yangu imegoma kabisa kuelewa hizi movie, naona kama ni mambo ya kitoto hivi.
2. Mpira.
Kuna watu timu yake ya mpira ikifungwa anaweza asile kabisa. Kuna mshikaji nilisoma nae advance Manchester ilikuwa ikifungwa hali msosi kabisa kama mechi imechezwa kabla ya msosi wa usiku. Mbaya zaidi mipira inayowafanya watu kuwa vichaa ni ya wazungu. Mtu unapendaje mpira hivyo? Angalau mpira naweza kukaa kuangalia kama wadau wanaangalia ila sio movie.
3. Pombe
Kuna watu wanapenda pombe sana, sijawahi kujaribu kunywa pombe yoyote lakini pia sijawahi hata kutamani kuonja pombe. Nashangaa eti mtu anapenda pombe kuliko hata mwanamke, unajiuliza huyu ana kili timamu au ni shoga?
4. Mwanamke mmoja.
Mtu anakuaje na mwanamke mmoja tu maisha yako yote? Kidini(wale wa dini wanajua) na kisayansi mwanamke mmoja hatoshi kwa sababu hisia za mwanaume ziko juu zaidi ya mara 3 ya mwanamke, sasa unakuwa na mwanamke mmoja anakutoshaje?
Vitu kama hivi watu mnavipendea nini?