Umejaribu kusearch katika google? Mimi nafahamu Samsung kama Electronic manufacturing company ya South Korea ambayo inatengeneza feature and smart phones,tablets,laptop computers,tvs,digital cameras,nk.
Hayo maneno mengine, Sumsung na Sumsang naamini kuwa ni makosa ya kuspell SAMSUNG. Au huenda yana maana nyingine. Pia kuna electronic company nyingine inaitwa SINGSUNG inatengeneza tvs,dvd players nk lakini haitengenezi simu. Hakuna kapuni nyingine inayotengenrza simu yenye jina linalofanana na SAMSUNG pengine hapo ndipo palipokuletea utata.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.