Hivi vitu ni propaganda au??

Hivi vitu ni propaganda au??

STUNTER

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2015
Posts
13,077
Reaction score
17,260
Mambo mengi tunayasikia na kuyasoma lakini baadae tukija kwenye maisha halisi tunakuta ni tofauti,
Mfano-
SIGARA: Hii inapigwa vita sana na inasemekana ni hatari kwa maisha, lakini tukija kwenye uhalisia wa wavutaji utagundua wazee wengi wenye umri mkubwa ni wavutaji wakuu wa sigara na still umri wao unasonga, kama vile Bi kidude& Fidel Castro(rip) n.k.

POMBE: Hii nayo inapigwa vita kwa na baadhi kwamba ina madhara kwenye maini na kwenye kinga ya mwili, lakini tukija kwenye uhalisia inatumiwa na madokta, maprofesa, watu mashuhuri kama akina Adolf Hitler(rip), Maraisi na matajiri wa dunia, wacheza soka n.k, na hao wote utakuta wana madaktari wao binafsi,
Ni watu walioelimika n.k,
SASA UNAJIULIZA INAMAANA HAWA WATU WAMEAMUA KUJITOA MUHANGA AU HAWAELEWI MADHARA YA POMBE? Na kama ina madhara mbona wazee wa zamani na hata wasasa wametumia pombe kwa kipindi kirefu na pia wameishi kwa kipindi kirefu?

BANGI: Hii nayo inapigwa marufuku na watu wengi sana wakisema inaharibu akili,
lakini chakushangaza wale watu waliotumia wengi ni wenye maneno ya busara, wametoa ukombozi katika mataifa yao mfano Che guevara, Obama,

Wamefanikiwa sana katika maisha yao, na wengine wamejikusanyia mashabiki wengi duniani kutokana na vipaji vyao mf. Bob marley.
SASA UNAJIULIZA MBONA VITU VINAVYOONGELEWA VIKO TOFAUTI NA UHALISIA?
Yapo mambo mengi yenye utata lakini naomba tuyajadili hayo kwanza.
 
Sigara na bangi hawa watumiaji cjui kama
Wanapata madhara maana
Kila sku wanaongezeka

Me ngoja nifkirie bar gani
Ntaenda kumalizia weekend
Yang leo
 
Sigara na bangi hawa watumiaji cjui kama
Wanapata madhara maana
Kila sku wanaongezeka

Me ngoja nifkirie bar gani
Ntaenda kumalizia weekend
Yang leo
Yani haya mambo yana utata sana,
Sasa ukienda mahospitalini sijui kama utakutana na mtu aliyepata ugonjwa kwa utumiaji wa bangi au sigara
 
Madhara yapo tena makubwa sana na yanaua mamilioni ya watu kila mwaka - Hayapigwi marufuku kwasababu yameshakuwa biashara kubwa ndio maana unawekewa tahadhari tu - Tembelea mahospitalini uone watu wanavyosuffer kwa kansa za Mapafu na TB kwasababu za sigara, unaposema bange huoni akili za wavutaji zinavyokuwaga - hili halihitaji utaalamu wowote
 
Daktari anakushauri uache kuvuta sigara ukitoka nje unamkuta anavuta sigara
Addiction na Ubinadamu, Mfano mimi ni Public Health Advocate huwa nawashauri watu wachemshe maji ya kunywa lakini mimi huwa sichemshi kabisa, nakunywa maji yoyote na sipati madhara yoyote - Nawashauri watu kutumia kondomu lakini binafsi nachukia ila basi tu.
 
Daktari anakushauri uache kuvuta sigara ukitoka nje unamkuta anavuta sigara
Nimeshakutana na madaktari kibao wanavuta sigara , alafu wengine wana vitambi vikubwa sana, sasa sijui ushauri wanaotupa ni upi
 
Madhara yapo tena makubwa sana na yanaua mamilioni ya watu kila mwaka - Hayapigwi marufuku kwasababu yameshakuwa biashara kubwa ndio maana unawekewa tahadhari tu - Tembelea mahospitalini uone watu wanavyosuffer kwa kansa za Mapafu na TB kwasababu za sigara, unaposema bange huoni akili za wavutaji zinavyokuwaga - hili halihitaji utaalamu wowote
Hebu nitajie mtu ambae bangi imemuharibu akili then tulinganishe tuone wale wagonjwa kule milembe nao walivuta bangi?
 
Mambo mengi tunayasikia na kuyasoma lakini baadae tukija kwenye maisha halisi tunakuta ni tofauti,
Mfano-
BANGI: Hii nayo inapigwa marufuku na watu wengi sana wakisema inaharibu akili,
lakini chakushangaza wale watu waliotumia wengi ni wenye maneno ya busara, wametoa ukombozi katika mataifa yao mfano Che guevara, Obama,

Wamefanikiwa sana katika maisha yao, na wengine wamejikusanyia mashabiki wengi duniani kutokana na vipaji vyao mf. Bob marley.
SASA UNAJIULIZA MBONA VITU VINAVYOONGELEWA VIKO TOFAUTI NA UHALISIA?
Yapo mambo mengi yenye utata lakini naomba tuyajadili hayo kwanza.
Mkuu Stunter naunga mkono hoja ndio tulitoa ushauri huu kuhusu ile biashara kuu liko zote
Opinion: Is It Not, Its High Time, Tanzania Tuhalalishe "The ...
Paskali
 
Addiction na Ubinadamu, Mfano mimi ni Public Health Advocate huwa nawashauri watu wachemshe maji ya kunywa lakini mimi huwa sichemshi kabisa, nakunywa maji yoyote na sipati madhara yoyote - Nawashauri watu kutumia kondomu lakini binafsi nachukia ila basi tu.
Sasa umeona sasa?
Na unakuta wale watu wanaofuata sheria za watabibu ndi deile wanaumwa hovyohovyo...
Mi nadhani Tupo hapa duniani kwaajili ya kufuata nature tu,
 
Hebu nitajie mtu ambae bangi imemuharibu akili then tulinganishe tuone wale wagonjwa kule milembe nao walivuta bangi?
Is 20% Normal ( Huyo ni mtu maarufu anayefahamika na ni mvuta bange )
 
Daktari anakushauri uache kuvuta sigara ukitoka nje unamkuta anavuta sigara
Kwani mfanyabiashara anayeuza viatu vipya hua anavivaa yeye kwanza hivyo viatu vipya halafu ndipo huviuza au huviuza vikiwa vipya?

Tafakari.
 
Mambo mengi tunayasikia na kuyasoma lakini baadae tukija kwenye maisha halisi tunakuta ni tofauti,
Mfano-
SIGARA: Hii inapigwa vita sana na inasemekana ni hatari kwa maisha, lakini tukija kwenye uhalisia wa wavutaji utagundua wazee wengi wenye umri mkubwa ni wavutaji wakuu wa sigara na still umri wao unasonga, kama vile Bi kidude& Fidel Castro(rip) n.k.

POMBE: Hii nayo inapigwa vita kwa na baadhi kwamba ina madhara kwenye maini na kwenye kinga ya mwili, lakini tukija kwenye uhalisia inatumiwa na madokta, maprofesa, watu mashuhuri kama akina Adolf Hitler(rip), Maraisi na matajiri wa dunia, wacheza soka n.k, na hao wote utakuta wana madaktari wao binafsi,
Ni watu walioelimika n.k,
SASA UNAJIULIZA INAMAANA HAWA WATU WAMEAMUA KUJITOA MUHANGA AU HAWAELEWI MADHARA YA POMBE? Na kama ina madhara mbona wazee wa zamani na hata wasasa wametumia pombe kwa kipindi kirefu na pia wameishi kwa kipindi kirefu?

BANGI: Hii nayo inapigwa marufuku na watu wengi sana wakisema inaharibu akili,
lakini chakushangaza wale watu waliotumia wengi ni wenye maneno ya busara, wametoa ukombozi katika mataifa yao mfano Che guevara, Obama,

Wamefanikiwa sana katika maisha yao, na wengine wamejikusanyia mashabiki wengi duniani kutokana na vipaji vyao mf. Bob marley.
SASA UNAJIULIZA MBONA VITU VINAVYOONGELEWA VIKO TOFAUTI NA UHALISIA?
Yapo mambo mengi yenye utata lakini naomba tuyajadili hayo kwanza.
Kuna nyuzi humu inayomhusu tunda akiwa maeneo na team yake wakila bata na meza ilivyochafuka pombe kali za kila aina zikiisha zile nadhani kesho yeye na wenzie watapewa ukandarasi wa ile flyover ya tazara
 
Kuna nyuzi humu inayomhusu tunda akiwa maeneo na team yake wakila bata na meza ilivyochafuka pombe kali za kila aina zikiisha zile nadhani kesho yeye na wenzie watapewa ukandarasi wa ile flyover ya tazara
Na watu kama hao unakuta hawatetereki afya, Mfano P funk Majani...
Jamaa tangu enzi zile mpaka sasa ni mwendo mdundo
 
Kwani mfanyabiashara anayeuza viatu vipya hua anavivaa yeye kwanza hivyo viatu vipya halafu ndipo huviuza au huviuza vikiwa vipya?

Tafakari.
Unataka kusema wanaotoa ushauri huwa wanafanya kwa mazoea tu? Lakini sicho wanachokimaanisha?
 
Back
Top Bottom