Yaani ye anafikiri labda demu alitaka jamaa ajifanye Tomaso atesti kama bikra ipo,Sasa demu alivyokwambia kwa ujasiri kuwa yeye bado bikra ndo we ukafikiri kuwa ameku-feel? Sijaelewa!
mwambie huamini unataka kuhakikisha, uingie nae room umalize.Wada kaswali tuu maana kuna mrembo mmoja kanifanya ni bakie njia panda tulikuwa tunaongelea juu ya mabinti wakileo kuwa hawana bikira zao nikashangaa yeye ananiambia kuwa yakwake anayo akanisisitizia nikashindwa elewa ujasiri huwa wakunieleza hivyo kautoa wapi coz najua humu kuna wajuzi wengi naombeni mnidadavulieni
Wada kaswali tuu maana kuna mrembo mmoja kanifanya ni bakie njia panda tulikuwa tunaongelea juu ya mabinti wakileo kuwa hawana bikira zao nikashangaa yeye ananiambia kuwa yakwake anayo akanisisitizia nikashindwa elewa ujasiri huwa wakunieleza hivyo kautoa wapi coz najua humu kuna wajuzi wengi naombeni mnidadavulieni
Sasa kama bikira ni ya kwake inahusiana vipi na wewe?Leo nimewekwa njia panda msichana flan tumezoeana wewe sema siyo kima penzi ila. Leo kanitamkia anayo bikira yake. Wewe kama mdau unasemaje maana mimi nimebakia kudua kulikoni kafikia hatua hiyo yakuniweka. Wazi
Mwambie akuonyeshe.
hahaaaa!akishaonyeshwa
kifuatacho itv ni nini!
mku hii avatar yako kila nikiiona mbavu zinapasuka sana yaani nashindwa kuizoea hivi nimelipuka kicheko ofisini.sijui uliikota wapiEti news alert.,..!?
uraaaaaaaaaaaa mamndenyi umeua nchoMwambie akuonyeshe.