Hivi utajuaje demu ameku feel?

Hivi utajuaje demu ameku feel?

mku hii avatar yako kila nikiiona mbavu zinapasuka sana yaani nashindwa kuizoea hivi nimelipuka kicheko ofisini.sijui uliikota wapi

inaitwa kilwazenza hiyooo..
 
Demu akikuambia yeye ni bikra unapaswa kujua kwamba hutaweza kusex naye milele kwa sababu anajua utaikosa iyo bikra aliyokudanganya kuwa anayo.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Demu akikuambia yeye ni bikra unapaswa kujua kwamba hutaweza kusex naye milele kwa sababu anajua utaikosa iyo bikra aliyokudanganya kuwa anayo.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums

Wewe ni mtaalam wa watu hawa!!! Comment yako ina logic.
 
Leo nimewekwa njia panda msichana flan tumezoeana wewe sema siyo kima penzi ila. Leo kanitamkia anayo bikira yake. Wewe kama mdau unasemaje maana mimi nimebakia kudua kulikoni kafikia hatua hiyo yakuniweka. Wazi

Bikra ya limao hiyo
 
inawezakana kasema kukubeep!!!!! au ni mawazo yako tu mabaya(like most men) ukisikia tu mtu kagusia tiari anakupenda na sijui upendo kwako unamaanisha nini....? maana
 
Wewe ni mtaalam wa watu hawa!!! Comment yako ina logic.

mkuu samahani ila mm naona ni illogic. Kuna demu alimwambia jamaa kama yy ni bikra, na akamwambia kama haamini ajaribu, na akikuta si bikra basi asitoe dushelele, jamaa akabaki hoi akasepa fasta akajua ni mtego.
 
Wewe ulivokuwa unaongelea bikra za wengine ulikuwa unam-feel? Ulitegemea akujibu nini? Angekuambia yeye hana ungekuja kuanzisha thread hapa?
 
Back
Top Bottom