Wada kaswali tuu maana kuna mrembo mmoja kanifanya ni bakie njia panda tulikuwa tunaongelea juu ya mabinti wakileo kuwa hawana bikira zao nikashangaa yeye ananiambia kuwa yakwake anayo akanisisitizia nikashindwa elewa ujasiri huwa wakunieleza hivyo kautoa wapi coz najua humu kuna wajuzi wengi naombeni mnidadavulieni