Hivi unajua kwamba sio nchi zote duniani wanaishi kwenye huu mwaka 2024?

mr pipa

JF-Expert Member
Jul 26, 2021
2,331
4,856
Na wajuza wale ambao hamjui: ipo hivi ina mambo mengi sana ya kustaajabisha na ili uelewe haya, yakupasa uwe mfuatiliaji.

Wale wenzangu na mimi ambao umekulia maeneo hayohayo unavyoona na kujenga mazoea katika mazingira yako mji wako wilaya yako mkoa wako na nchi yako kwamba jua/sun linatokea mashariki na kuzama magharibi

Hiyo haipo hivyo dunia nzima kuna sehemu nishawai kwenda jua linatokea magharibi na kuzama mashariki

Kwa hiyo kama hili linawezekana basi ukae ujue kuna baadhi ya nchi kama Thailand kalenda yao ina miezi 13 ila huku Tz ina miezi 12

Mfano kuna baadhi ya nchi hapa duniani huu ni mwaka 2081 kuna nyingine ni 2017 kuna nyingine ni 1446 ila huku Tanzania ni 2024

NB WALE WENZANGU WA UMRI UNAENDA SIJAFANYA KITU, KAMA HAPA UNA MIAKA 40 HIVI MKIENDA KUOMBA URAIA WA NCHI ZA NAMNA HIYO UKAJIKUTA UMEPIGA HESABU KULINGANISHA UKAJIKUTA UNA MIAKA 1500 AU HUNA MWAKA HATA MMOJA
 
Na wajuza wale ambao hamjui: ipo hivi ina mambo mengi sana ya kustaajabisha na ili uelewe haya, yakupasa uwe mfuatiliaji,,, wale wenzangu na mimi ambao umekulia maeneo hayohayo unavyoona na kujenga mazoea katika mazingira yako mji wako wilaya yako mkoa wako na nchi yako kwamba jua/sun linatokea mashariki na kuzama magharibi,, hiyo haipo hivyo dunia nzima kuna sehem nishawai kwenda jua linatokea magharibi na kuzama mashariki,,, kwahiyo kama hili linawezekana basi ukae ujue kuna baadhi ya nchi kama thailand kalenda yao ina miezi 13 ila huku tz inamiez 12 mfano kuna baadhi ya nchi hapa dunian huu ni mwaka 2081 kuna nyingine ni 2017 kuna nyingine ni 1446 ila huku tanzania ni 2024,,, NB WALE WENZANGU WA UMRI UNAENDA SIJAFANYA KITU, KAMA HAPA UNA MIAKA 40 HIVI MKIENDA KUOMBA URAIA WA NCHI ZA NAMNA HIYO UKAJIKUTA UMEPIGA HESABU KULINGANISHANUKAJIKUTA UNA MIAKA 1500 AU HUNA MWAKA HATA MMOJA
Huu ni mwaka 41 kwetu wana Shinchonji
 
Na wajuza wale ambao hamjui: ipo hivi ina mambo mengi sana ya kustaajabisha na ili uelewe haya, yakupasa uwe mfuatiliaji,,, wale wenzangu na mimi ambao umekulia maeneo hayohayo unavyoona na kujenga mazoea katika mazingira yako mji wako wilaya yako mkoa wako na nchi yako kwamba jua/sun linatokea mashariki na kuzama magharibi,, hiyo haipo hivyo dunia nzima kuna sehem nishawai kwenda jua linatokea magharibi na kuzama mashariki,,, kwahiyo kama hili linawezekana basi ukae ujue kuna baadhi ya nchi kama thailand kalenda yao ina miezi 13 ila huku tz inamiez 12 mfano kuna baadhi ya nchi hapa dunian huu ni mwaka 2081 kuna nyingine ni 2017 kuna nyingine ni 1446 ila huku tanzania ni 2024,,, NB WALE WENZANGU WA UMRI UNAENDA SIJAFANYA KITU, KAMA HAPA UNA MIAKA 40 HIVI MKIENDA KUOMBA URAIA WA NCHI ZA NAMNA HIYO UKAJIKUTA UMEPIGA HESABU KULINGANISHANUKAJIKUTA UNA MIAKA 1500 AU HUNA MWAKA HATA MMOJA
Ni wapi ulipoenda ambapo jua linachomoza Magharibi na kuzama Mashariki?
 
Na wajuza wale ambao hamjui: ipo hivi ina mambo mengi sana ya kustaajabisha na ili uelewe haya, yakupasa uwe mfuatiliaji,,, wale wenzangu na mimi ambao umekulia maeneo hayohayo unavyoona na kujenga mazoea katika mazingira yako mji wako wilaya yako mkoa wako na nchi yako kwamba jua/sun linatokea mashariki na kuzama magharibi,, hiyo haipo hivyo dunia nzima kuna sehem nishawai kwenda jua linatokea magharibi na kuzama mashariki,,, kwahiyo kama hili linawezekana basi ukae ujue kuna baadhi ya nchi kama thailand kalenda yao ina miezi 13 ila huku tz inamiez 12 mfano kuna baadhi ya nchi hapa dunian huu ni mwaka 2081 kuna nyingine ni 2017 kuna nyingine ni 1446 ila huku tanzania ni 2024,,, NB WALE WENZANGU WA UMRI UNAENDA SIJAFANYA KITU, KAMA HAPA UNA MIAKA 40 HIVI MKIENDA KUOMBA URAIA WA NCHI ZA NAMNA HIYO UKAJIKUTA UMEPIGA HESABU KULINGANISHANUKAJIKUTA UNA MIAKA 1500 AU HUNA MWAKA HATA MMOJA
Hapa inabidi niwe mpole nipite kimya kimya nisubiri wanaohusika waje kukomment
 
Na wajuza wale ambao hamjui: ipo hivi ina mambo mengi sana ya kustaajabisha na ili uelewe haya, yakupasa uwe mfuatiliaji,,, wale wenzangu na mimi ambao umekulia maeneo hayohayo unavyoona na kujenga mazoea katika mazingira yako mji wako wilaya yako mkoa wako na nchi yako kwamba jua/sun linatokea mashariki na kuzama magharibi,, hiyo haipo hivyo dunia nzima kuna sehem nishawai kwenda jua linatokea magharibi na kuzama mashariki,,, kwahiyo kama hili linawezekana basi ukae ujue kuna baadhi ya nchi kama thailand kalenda yao ina miezi 13 ila huku tz inamiez 12 mfano kuna baadhi ya nchi hapa dunian huu ni mwaka 2081 kuna nyingine ni 2017 kuna nyingine ni 1446 ila huku tanzania ni 2024,,, NB WALE WENZANGU WA UMRI UNAENDA SIJAFANYA KITU, KAMA HAPA UNA MIAKA 40 HIVI MKIENDA KUOMBA URAIA WA NCHI ZA NAMNA HIYO UKAJIKUTA UMEPIGA HESABU KULINGANISHANUKAJIKUTA UNA MIAKA 1500 AU HUNA MWAKA HATA MMOJA
UNATUONA SISI MANYANI.
 
Na wajuza wale ambao hamjui: ipo hivi ina mambo mengi sana ya kustaajabisha na ili uelewe haya, yakupasa uwe mfuatiliaji.

Wale wenzangu na mimi ambao umekulia maeneo hayohayo unavyoona na kujenga mazoea katika mazingira yako mji wako wilaya yako mkoa wako na nchi yako kwamba jua/sun linatokea mashariki na kuzama magharibi

Hiyo haipo hivyo dunia nzima kuna sehemu nishawai kwenda jua linatokea magharibi na kuzama mashariki

Kwa hiyo kama hili linawezekana basi ukae ujue kuna baadhi ya nchi kama Thailand kalenda yao ina miezi 13 ila huku Tz ina miezi 12

Mfano kuna baadhi ya nchi hapa duniani huu ni mwaka 2081 kuna nyingine ni 2017 kuna nyingine ni 1446 ila huku Tanzania ni 2024

NB WALE WENZANGU WA UMRI UNAENDA SIJAFANYA KITU, KAMA HAPA UNA MIAKA 40 HIVI MKIENDA KUOMBA URAIA WA NCHI ZA NAMNA HIYO UKAJIKUTA UMEPIGA HESABU KULINGANISHA UKAJIKUTA UNA MIAKA 1500 AU HUNA MWAKA HATA MMOJA
Kuna baadhi ya mataifa, mataifa ya kiislam huu ni mwaka 1445 kama sio 1446
 
Back
Top Bottom