Hivi ulishawahi kuamka na nyege?

Hivi ulishawahi kuamka na nyege?

Nyege ni kitu mbaya sana.

Ukiamka na nyege utatafuta kila contact ya jinsia ke mnyegeshane ikiwezekana kuomba kula tunda
Wadada wengine ni wabovu ila kutuliza nyege unaona sawa
Ukikosa unakuja kuomba uchumba JF
Hivi nyege ni ke au me tafadhari

Harafu mnalala nato hafu mnaamka nayo hii mara yangu ya kwanza kusikia
 
Acha tuu,miaka ya nyuma kipindi nakunywa pombe niko Dodoma kikazi,naamka na hangover kali na u bore umedindaa,namuita mama fua(47),namuomba kei kwa kumtangulizia hela,namuweka kavuuuuuuu anarudi kwa bwana ake,nika fall,*****
 
Acha tuu,miaka ya nyuma kipindi nakunywa pombe niko Dodoma kikazi,naamka na hangover kali na u bore umedindaa,namuita mama fua(47),namuomba kei kwa kumtangulizia hela,namuweka kavuuuuuuu anarudi kwa bwana ake,nika fall,*****
njoo inbox
 
Nyege ni kitu mbaya sana.

Ukiamka na nyege utatafuta kila contact ya jinsia ke mnyegeshane ikiwezekana kuomba kula tunda
Wadada wengine ni wabovu ila kutuliza nyege unaona sawa
Ukikosa unakuja kuomba uchumba JF
Nyege ni kipimo cha utu wa mtu, unakuta mwingine anaamka na nyege huku akitahamaki na kuhema kama alikuwa anakimbizwa, na kama hana mtu wa kumpigia simu kuomba gegedo kutokana na sababu zake mwenyewe basi anakwenda kutega nzi chooni kwenye mfuko wa rambo. Nzi wakijazana kwenye mfuko anaufunga taratibu ili nzi wasitoroke kisha anaingiza dushe lake kwenye huo mfuko. Vile nzi wanaporukaruka na kugusa kichwa cha lile dushe,, kijana wa Dar anavuta hisia na kujikojolea huku akiua nzi. Mchezo huu wa kubaka nzi unafanywa sana na vijana wa Dar, Pemba, Tanga na Zanzibar.
 
Nyege ni kitu mbaya sana.

Ukiamka na nyege utatafuta kila contact ya jinsia ke mnyegeshane ikiwezekana kuomba kula tunda
Wadada wengine ni wabovu ila kutuliza nyege unaona sawa
Ukikosa unakuja kuomba uchumba JF
Jiweke bize,jishughulishe na usikae mda mrefu sehemu moja,yataondoka mawazo hayo potofu.
 
Tukisema umri wa kuoa ni miaka 18 watu wanasema bado mdogo sana. Ona sasa akili ina nguvu na hakuna pa kujiwekeza kanaamka na kuwaza umalaya na ngono tu pumbavu kabisa.
Nashanga unasema ngono upumbavu laki tukitoa ngono hapa dunia i sidhani kama watu watatamani kuishi
 
Nashanga unasema ngono upumbavu laki tukitoa ngono hapa dunia i sidhani kama watu watatamani kuishi
Unachanganya ngono na mapenzi. Ukitoa ngono yanabakia mapenzi.

Ngono ni mfumo wa mahusiano unaoendeshwa nje ya maelekezo ya muumba,kwa kifupi kwenye ngono ndipo kila uchafu upo.

Mapenzi ni mpango wa MUNGU, mara nyingi watu wakifanya ngono husema wanafanya mapenzi. Ukiwa kitandani na mkeo wa ndoa hapo mnafanya mapenzi, ukiwa na yule demu ambaye wazazi wake hawakufahamu na haukuwahi tambulishwa kwao wala kumposa, wewe ni unafanya ngono na mwanamke sio mapenzi.

"Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa".

Ndugu tenga muda wa kumjua MUNGU huu ulimwengu hautakupelekesha hivi.
 
Unachanganya ngono na mapenzi. Ukitoa ngono yanabakia mapenzi.

Ngono ni mfumo wa mahusiano unaoendeshwa nje ya maelekezo ya muumba,kwa kifupi kwenye ngono ndipo kila uchafu upo.

Mapenzi ni mpango wa MUNGU, mara nyingi watu wakifanya ngono husema wanafanya mapenzi. Ukiwa kitandani na mkeo wa ndoa hapo mnafanya mapenzi, ukiwa na yule demu ambaye wazazi wake hawakufahamu na haukuwahi tambulishwa kwao wala kumposa, wewe ni unafanya ngono na mwanamke sio mapenzi.

"Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa".

Ndugu tenga muda wa kumjua MUNGU huu ulimwengu hautakupelekesha hivi.
Ngono si sex ama ni nini?
Kwani mke na mume hawafanyi sex
 
Ngono si sex ama ni nini?
Kwani mke na mume hawafanyi sex
Unaweza kuita hivyo. Lakini tukitumia lugha moja ya kiswahili tutatumia ngono,tendo la ndoa na kufanya mapenzi.

Mume na mke wa ndoa wanapokutana wanafanya tendo la ndoa au kufsnya mapenzi sababu ni kitu cha kawaida na kinakubalika na ni halali.

Ila pia wanaweza kufanya ngono mfano, kufanya mapenzi kinyume na maumbile, kutumia kinywa kwenye sehemu ya ukeni au uumeni (ngono kwa njia ya kinywa), kuhusisha matumizi ya vifaa vya kingono kama dildo, vibrators, viagra etc.

Ngono haina mipaka unaweza kufanya hata na wanyama,ukuta,tikiti, ndugu yako,mke wa mtu hata mkweo. Ila tendo la ndoa ni mke na mume halali tu. Na kufanya mapenzi ni simply kufanya vitendo ambavyo ndani yake ni msukumo wa hisia za kuvutiwa na mwingine ambaye unamjali na unamuona ni wa pekee sana kwako.

Kufanya mapenzi ni kama kusema kufanya mishemishe eneo la uchumi wako. Ili uchumi wako wako uimarike lazima ufanye mishe mishe. Hivyo hivyo kwenye tendo la ndoa,ili tendo la ndoa lifanyike lazima mfanye mapenzi kwasababu ndani ya ndoa kuna mapenzi ya mke na mume so lazima muyafanye.
 
WhatsApp Image 2025-07-31 at 18.39.46.jpeg
 
Kuna siku nimeamka na Genye nikajikuta nimetumia laki kupata mbususu…..Nyege ni kitu kibaya saaana.
 
Kwa comments chache nilizosoma nimegundua emotions ni kitu kinachowatesa san watu kwa kufanya maamuzi ya ajabu hivyo kama unasoma hii comment ni vyema kuwekeza katika emotions control yaan emotional intelligence
 
Back
Top Bottom