Moneyowner
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 1,422
- 1,253
Napata wakati mgumu sana kumlea mtoto wa kiafrika bila fimbo.
Kuna mbinu yoyote unaweza Lea mtoto mpaka utu uzima bila kumchapa?.
Watoto kuanzia 2-9years ni pasua kichwa utundu na tambia mbovu huanzia hapa.
Kuna mbinu yoyote unaweza Lea mtoto mpaka utu uzima bila kumchapa?.
Watoto kuanzia 2-9years ni pasua kichwa utundu na tambia mbovu huanzia hapa.