Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 67,029
- 173,693
Kuna tabia flani ntaaita ya kishwaini ambayo tunayo wabongo hasa wenye sijui ni ushamba au, mtu kakuomba assistance katika jambo lake flani au kakwama hivi...
Unampa shavu halafu baadae huko ni mwendo wa kujisifia tu kwa watu. "David amepata kazi bana ila bila mie kufanya mambo pale Airtel wasingemchukua" hapo ni kwenye mkusanyiko wa ndugu labda...au jamaa! Wengine wanaenda deep kwamba jamaa toka nimtaftie kazi hata simu tu hajapiga.
Mwengine nae..."Fredy alikuja kututembelea last weekend tukala lunch nikampa na elfu 50 atie mfukoni"...Kulikuwa na haja gani ya kusema ulimpa hela?
Do you really need to do that? Kuna ulazima wa kujimwambafy ukimsaidia mtu?
Unampa shavu halafu baadae huko ni mwendo wa kujisifia tu kwa watu. "David amepata kazi bana ila bila mie kufanya mambo pale Airtel wasingemchukua" hapo ni kwenye mkusanyiko wa ndugu labda...au jamaa! Wengine wanaenda deep kwamba jamaa toka nimtaftie kazi hata simu tu hajapiga.
Mwengine nae..."Fredy alikuja kututembelea last weekend tukala lunch nikampa na elfu 50 atie mfukoni"...Kulikuwa na haja gani ya kusema ulimpa hela?
Do you really need to do that? Kuna ulazima wa kujimwambafy ukimsaidia mtu?