lendila
JF-Expert Member
- Sep 26, 2012
- 5,806
- 4,370
Wana JF,
Tafadhali naombeni majibu kama kuna mwenye jibu tafadhali.
Swali lenyewe ni hili hapa: Hivi ufisadi wa kujenga uwanja wa ndege Chato bila kufuata taratibu, na sheria za nchi na ufisadi wa Tegeta escrow acc, ni ufisadi upi mkubwa ambao utaligarimu taifa kwa muda mrefu?
Tafadhali naombeni majibu kama kuna mwenye jibu tafadhali.
Swali lenyewe ni hili hapa: Hivi ufisadi wa kujenga uwanja wa ndege Chato bila kufuata taratibu, na sheria za nchi na ufisadi wa Tegeta escrow acc, ni ufisadi upi mkubwa ambao utaligarimu taifa kwa muda mrefu?