Hivi tutatusua kweli?

Hivi tutatusua kweli?

Mhafidhina07

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2014
Posts
3,652
Reaction score
5,134
,,,,,,Habari zenu wakuu??,,,,
Nadhani nyote ni wazima wa afya ningependa kupata ufafanuz kutoka kwenu hivi kwanini TCU capacity wameweka chache yaani si kwa diploma holder wala form six leaver

Je wanahofia mikopo au kupunguza wasomi???.
Kwa mfano mm chuo nachoomba capacity 550 chaguo la mwanzo wapo 2000 hivi kweli tutafika????.
 
Wanataka mpungue idadi mana wanabana bajeti fungu halitoshelezi
 
,,,,,,habari zenu wakuu??,,,, . nazan nyote ni wazima wa afya ningependa kupata ufafanuz kutoka kwenu hivi kwanini TCU capacity wameweka chache yaani si kwa diploma holder wala form six leaver je wanahofia mikopo au kupunguza wasomi???. . kwa mfn mm chuo nachoomba capacity 550 chaguo la mwanzo wapo 2000 hivi kweli tutatusua????.

Wanataka 550 out of 2000+ ???
 
Upande wangu nadhani vyuoni kuna mlundikano wa watu wengi zaidi ya mahitaji ya chuo.wanahofia high population ndo maana chuo kama AJuco diploma kutoka md wanahitaji watano tu.Nawashauri mnaoomba pia nendeni ktk vyuo husika
 
Hivi hili suala lililotangazwa la kuondoa wanafunzi wasio na sifa vyuoni wanazungumzia sifa zipi?? Maana wapo waliopitia mfumo wa CAS ya TCU na NACTE..... naombeni ufafanuzi
 
Hivi hili suala lililotangazwa la kuondoa wanafunzi wasio na sifa vyuoni wanazungumzia sifa zipi?? Maana wapo waliopitia mfumo wa CAS ya TCU na NACTE..... naombeni ufafanuzi
nacte na tcu walikuwa majip wanasema
 
Kuweni makini katika uchaguzi wa program ndugu zanguni, najua sasa hivi mna mzuka na mpo tayari kuchagua chochote ili mradi muende university tu. Graduates ni WENGI mno na soko haliwahitaji.
 
Back
Top Bottom