N'yadikwa
JF-Expert Member
- Aug 10, 2014
- 6,825
- 9,533
Nawaza kama Serikali ifanye utafiti juu ya kuangamiza kabisa mazalia ya mbu nchini kwa kutumia DDT ili tuagane kabisa na Malaria. Hili gonjwa linazingua mjue.
Hata kama ilizuiwa mbona nasikia kuna nchi nyingi tu wanaendelea kuitumia na huko India inaendelea kuzalishwa kama kawaida.
"Malaria haikubaliki"
Hata kama ilizuiwa mbona nasikia kuna nchi nyingi tu wanaendelea kuitumia na huko India inaendelea kuzalishwa kama kawaida.
"Malaria haikubaliki"