Mpatuka
JF-Expert Member
- Nov 15, 2015
- 1,711
- 2,494
imebuma kwa takwimu gani?
imebuma kwa takwimu gani?
ww umeandaa ep gani yenye ubunifu tuisikilize?Ep mbovu kuwahi kutokea
Hakuna ubunifu,Beat kaiba Nigeria
Uliambiwa na nani mimi ni msanii?ww umeandaa ep gani yenye ubunifu tuisikilize?
Amelipua sana aisee.. Mond kashachoka,ila ushamba wa harmo ndo unaboa zaidi japo anajuaAll in all EP imebuma
Amelipua sana aisee.. Mond kashachoka,ila ushamba wa harmo ndo unaboa zaidi japo anajua
😂😂😂 Konde Boy jeshiSijakwambia unishangilie mkuu kama vipi nipotezee😏
Harmo anajua sana,tatizo upeo mdogo ushamba mwingiKweli harmo anazingua nadhani vinavyomharibia ni sifa za kijinga na ushauri mbovu wa wapambe
bado chawa wake hawaamini kilichotokeaAll in all EP imebuma
😂😂😂😂😂 Konde Boy jeshi
Mond mkali ila namkubal zaid konde akiperfom live band naenjoy sana kama mboso vileInshu nzito, waliopo Konde Gang wote walikuwa WCB, Sasa sielewi huyu Dogo live anaimba kuliko Diamond, ana hit nyingi resently kuliko Mond, amezidiwa fame na Diamond, amezidiwa hela na Diamond lakini nadhani kimziki amemzidi faza, labda ndo Mana akamsaliji koz alikuwa anajua huyu ana kauwezo flani kauwezo ambacho kanamuumiza Mond Platinum.
All in all Mond ni mkali sana, ningekuwa Mond ningefurahi sana kuona Konde ana shaini ningefurahi mno Mana najua ametokea kwapani kwangu ni Kama mama na mtoto mama hawezi sikia wivu kwa mwanae hata siku moja.
Yaani ningekuwa Diamond ningekuwa happy na Harmonize mno, si mwanangu.
View attachment 2152725
Harmonize na Diamond
Ila namba hazidanganyi kwenye platform mbalimbali na zile unazoziona nzuri namba ziko chini sana!!Bila unaFki EP mbovu