ubarinolutu
JF-Expert Member
- Oct 22, 2012
- 1,964
- 3,895
Inshu nzito, waliopo Konde Gang wote walikuwa WCB, sasa sielewi huyu Dogo live anaimba kuliko Diamond, ana hit nyingi resently kuliko Mond, amezidiwa fame na Diamond, amezidiwa hela na Diamond lakini nadhani kimziki amemzidi faza, labda ndio maana akamsaliji coz alikuwa anajua huyu ana kauwezo flani kauwezo ambacho kanamuumiza Mond Platinum.
All in all Mond ni mkali sana, ningekuwa Mond ningefurahi sana kuona Konde ana shaini ningefurahi mno maana najua ametokea kwapani kwangu ni kama mama na mtoto mama hawezi sikia wivu kwa mwanae hata siku moja.
Yaani ningekuwa Diamond ningekuwa happy na Harmonize mno, si mwanangu.
Harmonize na Diamond
All in all Mond ni mkali sana, ningekuwa Mond ningefurahi sana kuona Konde ana shaini ningefurahi mno maana najua ametokea kwapani kwangu ni kama mama na mtoto mama hawezi sikia wivu kwa mwanae hata siku moja.
Yaani ningekuwa Diamond ningekuwa happy na Harmonize mno, si mwanangu.
Harmonize na Diamond