Mishahara hienda ikakaribiana ila trafik ana tip nyingi na kesi za trafiki ni za kipesa zaid tofauti na polisi akimkamata mhalifu au hata walogombana watu wakija kumtolea zamana kwisha habari mambo yanamalizwa bila ye kujua lakin trafik unacheza nae ye mwanzo mwisho upimaji wa ajali kukuandikia huna kosa kukuthibitishia ulipwe na bima unamkatia yeye kama yeye anakuandikia riport hawa wenzangu na mimi wakikufikisha kituon dili ndo linaishia hapo utadili na aliekuepo kituoni tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.