Hivi TCRA mnawaogopa Star TV?

Hivi TCRA mnawaogopa Star TV?

MAHANJU

JF-Expert Member
Joined
Aug 26, 2014
Posts
5,255
Reaction score
8,027
Wanatengeneza CD za kumtukana LOWASSA wazi wazi! Mmeona ni wapi vyombo vingine vinafanya uchafu huu? TCRA ninyi ni watumishi wa umma mnawatikia kina Nani? Mnakaaje kimya huku mkijua kua STARTV nyenendo zao ni Chafu? Wanatukana wazi wazi kwanini?
 
Hebu taja tusi mojawapo.

kila mwana ukawa hadi mgombea wenu analia kuonewa
 
Kwani wakuu wa TCRA si wanapewa kazi na mwenyekiti wa CCM acha kujichosha hii nchi inahitaji zaidi ya uponyaji
 
wanatengeneza cd za kumtukana lowassa wazi wazi! Mmeona ni wapi vyombo vingine vinafanya uchafu huu? Tcra ninyi ni watumishi wa umma mnawatikia kina nani? Mnakaaje kimya huku mkijua kua startv nyenendo zao ni chafu? Wanatukana wazi wazi kwanini?
mkuu hata mimi nimejiuliza swali kama hilo hawa jamaa sio kabisa,lakini uzuri kesho tutawaonesha jeuri ya nguvu ya umma
 
Hebu taja tusi mojawapo.

kila mwana ukawa hadi mgombea wenu analia kuonewa

Kuna CD wamemrekodi mama mmoja akimsema LOWASSA alipoenda Tandale, anamwambia eti ni Rais au matatizo! Kwali unamwita mtu aliyewahi kua waziri mkuu matatizo tena mkanda umetengenezwa na chombo cha habari kikubwa kabisa! Startv ni hovyo kabisa!
 
Wanatengeneza CD za kumtukana LOWASSA wazi wazi! Mmeona ni wapi vyombo vingine vinafanya uchafu huu? TCRA ninyi ni watumishi wa umma mnawatikia kina Nani? Mnakaaje kimya huku mkijua kua STARTV nyenendo zao ni Chafu? Wanatukana wazi wazi kwanini?

povu kubwaa siku alipojinyea mlikula hayo mavi yake kumsafisha
 
Star TV ni hopeless kabisa.
Mi nilishaiblock siku nyingi iyo.
Wanafanya mambo Utafikiri huu uchaguzi unafanyika milele. So stupid.
 
Kuna CD wamemrekodi mama mmoja akimsema LOWASSA alipoenda Tandale, anamwambia eti ni Rais au matatizo! Kwali unamwita mtu aliyewahi kua waziri mkuu matatizo tena mkanda umetengenezwa na chombo cha habari kikubwa kabisa! Startv ni hovyo kabisa!
Sasa yale si maoni ya mama ntilie aliyekasirishwa na ulaghai wa lowassa kujidai anawatembelea ili apate kura.

acha apewe za uso...!
 
Star TV ni hopeless kabisa.
Mi nilishaiblock siku nyingi iyo.
Wanafanya mambo Utafikiri huu uchaguzi unafanyika milele. So stupid.
Mkiekewa kwa urefu kuhusu Nyerere na mabadiliko mnachukia.

Mkiwekewa lema anavyomchana lowassa mnakasirika.

Star tv wabawasilisha ukweli ambao sifa yake kuu ni kuumiza wasioutaka.
 
Wanatengeneza CD za kumtukana LOWASSA wazi wazi! Mmeona ni wapi vyombo vingine vinafanya uchafu huu? TCRA ninyi ni watumishi wa umma mnawatikia kina Nani? Mnakaaje kimya huku mkijua kua STARTV nyenendo zao ni Chafu? Wanatukana wazi wazi kwanini?

Kwani wewe fisadi Lowasa ni baba yako hati ikuume akitukanwa? Acha ujinga, fisadi Lowasa akitukanwa ni juu yake au familia yake kumtetea kwa maana ndiyo wanaofaidika na utajiri wake na siyo wewe msukule na nyumbu, embu nenda kibaruani katafute unga wa familia na acha kumtetea fisadi ambaye hata ni moja ya sababu ya wewe na ukoo wako kuwa na maisha duni!
 
Kuna CD wamemrekodi mama mmoja akimsema LOWASSA alipoenda Tandale, anamwambia eti ni Rais au matatizo! Kwali unamwita mtu aliyewahi kua waziri mkuu matatizo tena mkanda umetengenezwa na chombo cha habari kikubwa kabisa! Startv ni hovyo kabisa!

sasa ultaka star tv wafanye km uyo mama n kwl alsema? ultaka wa eddit ionekane kamcfia, tumia akil kufkr co unatumia tumbo kufkr bna.
 
Back
Top Bottom