Mara nyingi utaona watu wanachukua content za watu wengine bila kutoa credit.
Wanachukua picha za vijana waliotaabika kushoot na kuedit na kuziweka kwenye page zao kubwa za mitandao bila kutoa credit.
Sasa hivi hata page za waandishi wa habari wanachukuliana kazi bila credits.
Tazama mfano hii habari imenakiliwa neno kwa neno. Inawezekana vipi watu tofauti wakaandika habari inayofanana kila kitu?
Wanachukua picha za vijana waliotaabika kushoot na kuedit na kuziweka kwenye page zao kubwa za mitandao bila kutoa credit.
Sasa hivi hata page za waandishi wa habari wanachukuliana kazi bila credits.
Tazama mfano hii habari imenakiliwa neno kwa neno. Inawezekana vipi watu tofauti wakaandika habari inayofanana kila kitu?