Hivi SIDO Mbeya ndio wa kushindwa kunichongea spare part hii?

Hivi SIDO Mbeya ndio wa kushindwa kunichongea spare part hii?

Mbalizi feedstuff

Senior Member
Joined
Feb 23, 2025
Posts
188
Reaction score
200
Nimeshangazwa sana na hawa jamaa wana mimashine mikubwa mpaka ukiingia workshop unaogopa lakini kumbe hamna kitu,niliwapelekea sample ya spare hiyo nichongewe wakasema wanaweza hiyo kazi mwisho wa siku tunaanza kusumbuana mara sijui bits za kutobolea za drilling machine zinavunjika vunjika,je wachina wanaozitengeneza hizi parts wanatumia bits kutoka mbinguni?

Mfano wa spare parts hizo
Screenshot_20251216-143017_Chrome.jpg
 
je wachina wanaozitengeneza hizi parts wanatumia bits kutoka mbinguni?
Itakua maana sasa hivi wanatumia mchanga tu kutengeneza karatasi sisi michanga ipo kibao nenda mpelekee professor Kitila Mkumbo mwambie debe 2 za mchanga hizi hapa nitengenezee karatasi kwanza atakutolea macho km amebanwa makende...
 
Back
Top Bottom