Naja naja
JF-Expert Member
- Sep 13, 2016
- 747
- 1,454
Wakuu nimekuwa nikijiuliza hili swali mara kwa mara lakini nakosa jawabu kwa kweli
Serikali imekataza safari za nje na taarifa zimetoka kuwa wameokoa zaid ya bilioni900,pia kuna sehemu mbalimbali wamebana matumizi kama vile kupunguza posho za wabunge,kushusha mishahara ,kutoajiri watu ,kupunguza wanafunzi hewa na wafanyakazi hewa,kupandisha kodi nk
Sasa kama wamebana kwa kiasi hiki nilitarajia huduma muhimu kama vile mikopo ya wanafunzi wa vyuo vikuu isingesumbua kabisa lakini hali ni tofauti kabisa wanafunzi wengi tumekosa mikopo hata baada ya kuappeal ikizingatiwa mfano kama mimi nasoma kozi yenye kipaumbele pia nina ufaulu mzuri wa kidato cha sita na kidato cha nne pia lakini nimekosa mkopo
Hivi nikisema bwana yule naye ni fisadi nitakuwa nimekosea??
Maana hela hatujui zinapoelekea
Serikali imekataza safari za nje na taarifa zimetoka kuwa wameokoa zaid ya bilioni900,pia kuna sehemu mbalimbali wamebana matumizi kama vile kupunguza posho za wabunge,kushusha mishahara ,kutoajiri watu ,kupunguza wanafunzi hewa na wafanyakazi hewa,kupandisha kodi nk
Sasa kama wamebana kwa kiasi hiki nilitarajia huduma muhimu kama vile mikopo ya wanafunzi wa vyuo vikuu isingesumbua kabisa lakini hali ni tofauti kabisa wanafunzi wengi tumekosa mikopo hata baada ya kuappeal ikizingatiwa mfano kama mimi nasoma kozi yenye kipaumbele pia nina ufaulu mzuri wa kidato cha sita na kidato cha nne pia lakini nimekosa mkopo
Hivi nikisema bwana yule naye ni fisadi nitakuwa nimekosea??
Maana hela hatujui zinapoelekea