kilwakivinje
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 6,002
- 9,091
Unajua kuwa mie ni ccm damuUnajua Membe ni CCM damu?!
Unajua kuwa mie ni ccm damuUnajua Membe ni CCM damu?!
Nani atupende. 2020 twende na membeHa ha haaaaaaaa
Acha kupoteza muda kwa hayo.. hata mkiomba omba kuonewa huruma au kupendwa mnajua ni porojo tu mnaandika mitandaoni
JPM oyeeeeee
Hoja gani wewe usinchekeshe bhana!🤣 wewe una hoja ama ni mshabiki tu? Yani hiyo mipasho yako ya kifala ndo unaita hoja?Hawakumpa pesa Magufuli.
Wana CCM wote wana mchango wa aina moja au nyingine kukichangia chama chao wakati wa kampeni na hata usio wa kampeni.
Kama uonavyo wengine tunavyotoa michango yetu humu kuwagaragaza hoja zenu maji taka.
Wale walioenda binafsi kumfadhili waligonga mwamba kama Mengi vile ,ila walioenda kwenye chama walichangiaAkatoa "challenge" kwa mfanyibiashara yeyote ambaye amaamini kuwa alimfadhili, ajitokeze hadharani......
Member anasema coco anakutakia usingizi mwema ,kumbuka 2020 kazi afu jioni bataaaHayo ya Membe sijui nani yananihusu nini mimi!!!
Kama anataka si anajua nini cha kufanya kwenye Chama chake kuwania..
Ujue hayo ya Membe nayapita kwasababu najua mnatafuta kujibishana au kukuna watu.. kwangu pwaaaaa.. sikuniki..
Magufuli oyeeeee
Ila si kuna tofauti kati ya kumfadhili kuingia madaraka ni na kukifadhili Chama?Tumemsikia kwa masikio yetu wenyewe, Rais Magufuli katika hotuba yake majuzi, alipokuwa akiwahutubia mawaziri, wakuu wa mikoa, maRAS na TRA, akiwaeleza kuwa hata wafanyibiashara wanaokifadhili chama chake cha CCM ni lazima walipe kodi
Katika hotuba yake hiyo alieleza kusikitishwa na tabia ya baadhi ya watendaji wake, kuwasamehe kodi baadhi ya wafanyibiashara, kwa kisingizio kuwa ni wafadhili wa CCM
Aliendelea kusema kuwa ulipaji kodi hauna itikadi za Chama. Kwa hiyo ni kitu cha lazima kwa mfanyibiashara, whether uwe ni mfadhili wa CCM, Chadema au CUF ni lazima ulipe kodi, kwa kuwa kama wewe ni mzalendo, kodi ni muhimu kulipwa na wafanyibiashara wote bila kujali anakifadhili chama kipi
Maneno hayo ni tofauti na aliyoyatoa mwaka Jana wakati akiwahutubia wafanyibiashara, katika kikao kilichofanyika pale Serena Hotel, ambapo alidai yeye hajafadhiliwa na mfanyibiashara yeyote katika kampeni zake za kuingia Ikulu!
Akatoa "challenge" kwa mfanyibiashara yeyote ambaye amaamini kuwa alimfadhili, ajitokeze hadharani......
Naamini ingawa hajajitokeza mfanyibiashara yeyote na kudai kuwa alitoa msaada wake kwa kampeni zake Rais za kuelekea Ikulu, kutokana na woga na hofu ya "kumpinga" Mheshimiwa Rais hadharani........
Lakini ni ukweli usiopingika kuwa wapo wafanyibiashara wakubwa na wadogo walioshiriki kikamilifu kumuingiza Magufuli Ikulu.
Ukweli umejidhihirisha, pale Rais Magufuli alipokiri kwa kinywa chake mwenyewe, kuwa wapo wafanyibiashara wanaokwepa kulipa kodi, kwa kisingizio kuwa wao ni wafadhili wa Chama tawala cha CCM!
Member anasema coco anakutakia usingizi mwema ,kumbuka 2020 kazi afu jioni bataaa
Hivi Faiza yule sheikh wetu aliyetekwa Mwanza amekwisha patikana.Mbona mambo ya msingi kama hayo huongelei unabishana tu kwenye mambo yasiyo na tija?Unabadili hoja? Huna kingine zaidi ya hayo?
We nae bonge la pumbavu. Sasa hapo uislamu unahusisha vipi.shenzy kibiritiWaislam wengi wakizidiwa hoja hujawa na matusi
Unachekesha sana umegeuka kihoja huna hoja
Waislamu Mtu akiwagusa tu kuwa mtume hakukua kusoma wala kuandika hivyo akina aboubakary pale mecca walimsaidia kuandika Quran lazima more povu
Pole sana ustadhat Mara nyingi mnapenda yaandikwe yanayowafurahisha na kuwatekenya
Anzisha mada. Hapa mada ni tofauti kabisa. Mbona nyie mnapenda kutoka nje ya track?Hivi Faiza yule sheikh wetu aliyetekwa Mwanza amekwisha patikana.Mbona mambo ya msingi kama hayo huongelei unabishana tu kwenye mambo yasiyo na tija?
Hii hoja ya uislam inatoka wapi kwenye hii mada.Waislam wengi wakizidiwa hoja hujawa na matusi
Unachekesha sana umegeuka kihoja huna hoja
Waislamu Mtu akiwagusa tu kuwa mtume hakukua kusoma wala kuandika hivyo akina aboubakary pale mecca walimsaidia kuandika Quran lazima more povu
Pole sana ustadhat Mara nyingi mnapenda yaandikwe yanayowafurahisha na kuwatekenya
Ipo tayari sijaona ukiongea chochote juu ya hilo Faiza!Anzisha mada. Hapa mada ni tofauti kabisa. Mbona nyie mnapenda kutoka nje ya track?
Ipo tayari sijaona ukiongea chochote juu ya hilo Faiza!
kulima korosho na kutonyangánywa na jeshiKazi ipi hiyo?
Toka Membe aibuke na nyinyi ndo mnajitokeza sasa.. Ha ha ha haaaa... Shikamoo mama.Sasa mbona utumbo wako wa habari unaelezea CCM na kichwa cha habari Magufuli.
Lini Magufuli alisema CCM haina wafadhili?
Kuwa mfadhili wa CCM na kuwa mfadhili wa mgombea urais wa CCM ni vitu tofauti kabisa.
Wafadhili CCM wapo.
Magufuli ali challenge atokee mmoja aseme kamfadhili yeye.
Hivi mmekosa sera?
Membe anahusu nini kwenye uzi huu?Toka Membe aibuke na nyinyi ndo mnajitokeza sasa.. Ha ha ha haaaa... Shikamoo mama.