HIVI PUNDE:North Korea tensions increased

HIVI PUNDE:North Korea tensions increased

Julius Husseni

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2016
Posts
1,435
Reaction score
1,195
Majeshi ya korea ya kusini na ya USA yazidi kufanya mazoezi ya Kivita na hali yazidi kuwa tete maneno ya kurushiana baina ya pande zote mbili Kati ya USA na North Korea Huku ndege 100 kutoka America Za kivita zikiwasili Uwanja wa mapambano source ni BBC FOX NEWS ALJAZEERA
 
mmarekani anakaribia kupoteza ufalme wake. hadi watoto wadogo wanamchezea masabuli na anakaa kimya tu. na hii siyo kawaida yake.
 
Wewe hakuna vita hapo ni mbwembwe tu mnyoa kiduku kashamwambia yeye yuko tayari kwa vita so kama USA anajiami arushe hata kokoto tu kwenye ardhi ya wanyoa viduku walianzishe
 
Hivyo n vitisho tu.kama marekan inahitaji kusambaratika bas waiguse Korea ya kazikazin.ss yetu macho tunaangalia tu
 
Kwani NORTH KOREA ndinw KOREA KUSINI?

Mbona unaandika as if unahamia DODOMA?
 
Mashoga wa kimarekani wameambiwa watashughulikiwa huko huko kwao sasa Trump kaona anaweza kufirwa na NYUKLIA ndiyo maana kakalia maneno tu kumwambia mchina mkanye dogo mimi nitampiga bila msaada ili hali keshanyari wanyoa viduku siyo waarabu wale wafuga ndevu tu na wanafiki na majungu ndiyo maana huwa wanapigwa yamejaa mamluki tu
 
marekani anajaribu kuficha aibu ya kutorosha meli zake alizodai zinakuja kutoa kipigo!
 
Back
Top Bottom