franckkimm
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 440
- 852
- Thread starter
- #81
No takokwani ili tuseme Huyu mwanamke ni Mbaya inabidi awe Sifa zipi
No shepu
No kalio
In addition
No titi Dede
No takokwani ili tuseme Huyu mwanamke ni Mbaya inabidi awe Sifa zipi
Wanawake wazuri hua wana tatizo kubwa sana la kisaikolojia. Wao hudhani kwamba uzuri wao ndio kila kitu, hawana tena haja ya kuwa na heshima, usikivu nk. Ndio maana wengi utakuta hata kitandani hafanyi chochote manake anaamini uzuri wake tu unatosha.Maliziaa....wana kiburi na dharau while hamna kitu sawa?
Asee wewe Ni waleee Kati ya wachache tuliopata DIV I enzi hizoo.....una uelewa mkubwa......Nivile sijui ku PIN TU, hii comment YAKo ilitakiwa kuwa juu pale kwenye post.Wanawake wazuri hua wana tatizo kubwa sana la kisaikolojia. Wao hudhani kwamba uzuri wao ndio kila kitu, hawana tena haja ya kuwa na heshima, usikivu nk. Ndio maana wengi utakuta hata kitandani hafanyi chochote manake anaamini uzuri wake tu unatosha.
Na kiburi chao kinatokana na ile kuona kwamba kila mwanaume anamtaka, so ukiwa nae hawezi kukuheshimu anajua hata ukimuacha wapo wengi wanamsumbua.
wanawake wembamba wengi Ndio Visu Duniani muone priynka chopra toka mwaka 2000 yupo vile vile hachuji njoo kwa careen simba miaka miwili limekuwa furushi mcheki Iryna shaka toka 2011 yuko vile vile na ka mwili kake mcheki fanny Negusha unaweza zani ana miaka 18 mcheki flavian matata yupo vile vile hii mifurushi mingi naona inafaa kwa matumizi ya mda fupi sana wazungu sio wajinga kupenda mifupa Cristiano sio mpumbavu au Messi kuoa mifupaNo tako
No shepu
No kalio
In addition
No titi Dede
Kwa maana hiyo woote walio zaa sio pisi Kali ni paskali ?, English figure wote sio pisi kali? Kwa sababu hawana traqo ?. Dogo bado hujajua maana ya pisi Kali(mrembo).No tako
No shepu
No kalio
In addition
No titi Dede
Pisi inaweza kuwa kuwa na tako....sura mbovu, kitandani mbovu huyo Ni Pisi Kali????.....usikurupuke kujibu fikiri Kwanza sawa???wanawake wembamba wengi Ndio Visu Duniani muone priynka chopra toka mwaka 2000 yupo vile vile hachuji njoo kwa careen simba miaka miwili limekuwa furushi mcheki Iryna shaka toka 2011 yuko vile vile na ka mwili kake mcheki fanny Negusha unaweza zani ana miaka 18 mcheki flavian matata yupo vile vile hii mifurushi mingi naona inafaa kwa matumizi ya mda fupi sana wazungu sio wajinga kupenda mifupa Cristiano sio mpumbavu au Messi kuoa mifupa
Pisi za kawaida ett zinalinga Sana Ndo maana watu hawana time nowWakuu,
Napitia Sanaa threads nyingi humu MMU, karibia asilimia zote wadau wanajisifia kupita na Pisi Kali TU
Sijui, ana shepu, sura ya kuvutia, kalio kubwa nk.
Sasa najiuliza hizi Pisi mbovu/ za kawaida wao hawana wapenzi?
Binafsi MIMI PISI YANGU Ya kawaida, tunapendana kweli na natarajia kumuoa soon
KUONGOZEA:
Kiukweli nimeshachepuka Sana na Pisi hizo zenu mnazojinadi nazo humu kila siku, ila mwisho hakuna Cha maana za ya kuzinguana na kuachana TU
MY INTAKE:
Hizi Pisi Kali hamna kitu, Piga TU kwa matamanio ila Pisi za kuoa Ni zile mbayaaa, Tena mbayaaa.......ile inshu ya KATAA NDOA tutaisahau
Pia mwanaume kuja kulia sijui demu/mke sijui anazingua/anachepuka Ni ufala
MWISHO:
Popote Ulipo Pisi ya kawaida; usiye na shepu, huvutii, huna kalio Wala sura, ENJOY UR SELF
shi na ule msemo Mungu hakunyimi kila kitu, waache wao na uzuri wao Alafu kila siku wanaishia kuwa Single Mom's, huku ww unaendeleaje na NDOA yako tamu yenye furaha.
Nimemaliza!
Kufupisha sio wa kuoa.....KATAA NDOA NA PISI KALI sawa....mwambie na mwenzio dronedrakeUnakua na pisi kali hadi unaiogopa, baadhi ya wanaume ni mabwege sana.
Tatizo ni kutaka showoff, kuna pisi kweli ni kali ila ukiiangalia unaona tu mtaleteana shida, wengi wao wanapenda attention, care na baby baby nyingi, kuanzisha nazo mahusiano ni kero na karaha.
Ila wapo wanaozimudu, pisi kali na nyodo huwa havitengani.
Watu wa humu nategemea wawe smart sana ila ndio hivyoPisi mbovu kwako, ni pisi kali kwa mwingine.
Mbona hili linasemwa sana humu na hamuelewi?
@Smart911 apa ana mtu
Nakazia@Smart911 apa ana mtu
Labada nyie wenzangu wenye de liboloz ndio mnaonaga tofauti mie mwenzenu kibamia changu kikiingia tuu kichwa tayari raha yote nilishapata. Bwana kwanza utamu ninao mwenyewe na kibamia changu kwake nafuata utelezi na shape lake kunitia nyegeHapo kwenye pisi kali kuwa tamu naomba nipingane na wewe mkuu.
Uzoefu wangu ni kwamba pisi kali nyingi ni nzuri kuzitazama kama ulivyosema iwe inapitapita uchi au ndani ya lingerie/night dress nyepesi. Ila kwa suala la UTAMU kwa maana ya ladha ya mbususu ni sifuri.
Nyingi ya hizi pisi kali zimetumika sanaa unakuta mashine iko kama lapulapu yaani hamna taste kabisa. Sasa mbususu imeshaliwa na watu zaidi ya 200 wenye size na pulling tofautitofauti unategemea ukute nini hapo..?
basi sawaWakuu,
Napitia Sanaa threads nyingi humu MMU, karibia asilimia zote wadau wanajisifia kupita na Pisi Kali TU
Sijui, ana shepu, sura ya kuvutia, kalio kubwa nk.
Sasa najiuliza hizi Pisi mbovu/ za kawaida wao hawana wapenzi?
Binafsi MIMI PISI YANGU Ya kawaida, tunapendana kweli na natarajia kumuoa soon
KUONGOZEA:
Kiukweli nimeshachepuka Sana na Pisi hizo zenu mnazojinadi nazo humu kila siku, ila mwisho hakuna Cha maana za ya kuzinguana na kuachana TU
MY INTAKE:
Hizi Pisi Kali hamna kitu, Piga TU kwa matamanio ila Pisi za kuoa Ni zile mbayaaa, Tena mbayaaa.......ile inshu ya KATAA NDOA tutaisahau
Pia mwanaume kuja kulia sijui demu/mke sijui anazingua/anachepuka Ni ufala
MWISHO:
Popote Ulipo Pisi ya kawaida; usiye na shepu, huvutii, huna kalio Wala sura, ENJOY UR SELF
shi na ule msemo Mungu hakunyimi kila kitu, waache wao na uzuri wao Alafu kila siku wanaishia kuwa Single Mom's, huku ww unaendeleaje na NDOA yako tamu yenye furaha.
Nimemaliza!
Hahahaaaaa daaaaah Mkuu hii mifano yakoZipo mkuu....MFANO ebitoke au tabu mting Nani Nani sijui???....wote maarufu na Ni wachekeshaji
Jifariji tu ila umenasa pabovu
Yakwangu itakua ya pili, pia nina mpango wa kuprint t shirt za team kataa ndoaMwanasiasa atakaekuja na Sera ya Kataa Ndoa 2025 nampa kura ya Ndio.