franckkimm
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 440
- 852
- Thread starter
- #61
tumebarikiwa
tumebarikiwa
Bila tupicha picha huo nii uooongooo😅Wakuu,
Napitia Sanaa threads nyingi humu MMU, karibia asilimia zote wadau wanajisifia kupita na Pisi Kali TU
Sijui, ana shepu, sura ya kuvutia, kalio kubwa nk.
Sasa najiuliza hizi Pisi mbovu/ za kawaida wao hawana wapenzi???
Binafsi MIMI PISI YANGU Ya kawaida, tunapendana kweli na natarajia kumuoa soon
KUONGOZEA:
Kiukweli nimeshachepuka Sana na Pisi hizo zenu mnazojinadi nazo humu kila siku, ila mwisho hakuna Cha maana za ya kuzinguana na kuachana TU
MY INTAKE:
Hizi Pisi Kali hamna kitu, Piga TU kwa matamanio ila Pisi za kuoa Ni zile mbayaaa, Tena mbayaaa.......ile inshu ya KATAA NDOA tutaisahau
Pia mwanaume kuja kulia sijui demu/mke sijui anazingua/anachepuka Ni ufala
MWISHO:
Popote Ulipo Pisi ya kawaida; usiye na shepu, huvutii, huna kalio Wala sura, ENJOY UR SELF
ishi na ule msemo Mungu hakunyimi kila kitu.....waache wao na uzuri wao Alafu kila siku wanaishia kuwa Single Mom's.....huku ww unaendeleaje na NDOA yako tamu yenye furaha
Nimemaliza!
Matiti ni suala la muda TU mkuu with time mwanamke atake asitake titi litalala tu.Not exactly, kamfano TU kukuelewesha mkuu sawa, pia difference nyingine Ni Kama titi saa nane, shepu, sura nzuri nk......haya yote nimejifunza humu humu coz kila mtu humu Pisi yake Ni Kali kasoro Mimi tu sawa??
Umemaliza mkuu, chukua fanta orange hapo, sharti iwe ya baridi kupunguza hangover ya Jana.. nakuja kulipa sawa??.....zingatia masharti Alafu uni tagPisi mbovu zina wa kuwala aisee, tena ni tamu hasaa! Uzuri wa pisi mbovu hazina jam, utajikuta ni wewe tu ndiye unayekula peke yako. Hizi pisi kali ni balaa, mko wengi mmepangwa foleni bila kujua. Pisi kali ni majanga unaweza kuishia kumtwanga makofi mtoto wa watu kwa wivu wa kimapenzi ukingundua kuna jamaa jingine nalo linakula hapo.
Mfano hai 😂Punda milia wanavutia sana. Lakini wahenga waliamua kuishi na punda wa kawaida. Wahenga sio wajinga!
Hakika, nyie dunia hii ya kwenu,,, huyo smart Nani Nani sijui ( sijui ku tag Bado najifunza ok?? ).....huwezi mkuta kule kwa wanna KATAA NDOA wakati anacho kipata anapagawa, ataanzaje Kwanza??? ( Jokes )Matiti ni suala la muda TU mkuu with time mwanamke atake asitake titi litalala tu.
Tusio pisikali tupo wengi mbona ila tunaoolewa kwawingi ni pisi za kawaida sasa. Pia hata single ladies za kawaida lazima kila mmoja ina mtu wake
Cc Smart911
Bila tupicha picha huo nii uooongooo
inabidi na wao wafuate misingi hii hii tuuAngalia watoto wako wasije kukulaumu sana.
Wahenga hoyeeee🤣Mfano hai 😂
Baki na misemo YAKo man.....amini ninacho kuambia sawa??Swala la upisi kali ni mtambuka. Kizuri kwako ni kituko kwa mwingine.
Wazungu husema 'One man's meat is another man's poison'.
kumbe imekuwa ligi mzee. Basi sawa bwashee.Baki na misemo YAKo man.....amini ninacho kuambia sawa??
Sio ligi ni utofauti wa mitazamo tuu sawaa.... nothing personalkumbe imekuwa ligi mzee. Basi sawa bwashee.
Hapo kwenye pisi kali kuwa tamu naomba nipingane na wewe mkuu.Mwanamke sura na chura. Pisi kali tamu jamani yaani awe anatembea tembea uchi ndani ya nyumba hadi raha.
Hao mnasema sio pisi kali bado wanacheat sasa sii bora ule mali safi tuu. Kuchapiwa kupo pale pale wether umeoa pisi kali au pisi mbovu
Maliziaa....wana kiburi na dharau while hamna kitu sawa?Hapo kwenye pisi kali kuwa tamu naomba nipingane na wewe mkuu.
Uzoefu wangu ni kwamba pisi kali nyingi ni nzuri kuzitazama kama ulivyosema iwe inapitapita uchi au ndani ya lingerie/night dress nyepesi. Ila kwa suala la UTAMU kwa maana ya ladha ya mbususu ni sifuri.
Nyingi ya hizi pisi kali zimetumika sanaa unakuta mashine iko kama lapulapu yaani hamna taste kabisa. Sasa mbususu imeshaliwa na watu zaidi ya 200 wenye size na pulling tofautitofauti unategemea ukute nini hapo..?