Hizi style zingine mtafanya watu wateguke viuno eti kuku kakwepa mwewe lolUzuri wao ni flexibility kwny staili zote, hawakuangushi -
✓popo kany.ea mbingu,
✓kuku kakwepa mwewe,
✓mbuz kagoma kwenda,
nk,nk
Wana:-Nimepata bahati ya kudate na pisi nyembamba mbili tatu hivi ,wadau ila huwa zinakuwa na wenge sanaa yaan wengi wao hawatulii yaan wasumbufu sana , mara anasusa mara cjui nn yaan najiuliza ni wote wako hivyo au nn shida..!!
Wana JF hebu nipeni taarifa fupi background kdg ya pisi za aina hii ,Nizielewe vzr , Nipeni Experience zenu juu yao...
meshack allyson
We nunua gari au kodisha tu massa 12 ukaite unakazaba humo humo maana bilaa hovo wanakula wengineKuna kamoja kananisumbua balaa ,yaan madem wembamba shida Sana ,kana nutesa balaa Mara Nina mtu wangu siwez kuwa na wewe ,nikikapa zawad kanapokea ,nikikaita sehem yoyote kanakuja fresh tu ila kasoro geto kwangu ndio hakatak hata kusikia ,nikikambia kaje jion na kigiza Giza sehem tofaut na kwangu yaan kaje nikabusu busu na kukashika shika kanakuja fresh tu.
Ajab had pants nakanunulia na kanafurah balaa na kunishukuru Sana ila kuja geto ndio hakatak ,had nawaza kukapulizia njian humo humo tunamokutana lakin naona hadhi yangu sio ya kupigia manz polin na ikatokea nimekutwa itakuwa aibu Sana ,yaan hutu tudem Ni shida Sana aisee na sielew Ni kamtu ka aina gani haka kadem.
Sema Ni ka modo fulani ka kitusi ila sio flat kiivo tunyama tupo tupo kidogo plus kifua ndio kananimaliza kabisa ,ila ngoja nijipe muda tu ipo siku katakunjua ,na kakija jichanganya hiyo siku nadhan kataisoma namba maana nimekaandalia Kila aina ya pigo
ID zingine ni kujitafutia laana tuu eti NAWATAFUNA !Flat screen wanavisirani sana tofauti na tv za chogo.
Mwembamba moyo wake ma mifupa yake ipo karibu na nje inachungulia sana na kuona vioja vya nje ndo maana vinasumbua kwa sababu ya hofu yanayoonekana nje kwa harakaNimepata bahati ya kudate na pisi nyembamba mbili tatu hivi ,wadau ila huwa zinakuwa na wenge sanaa yaan wengi wao hawatulii yaan wasumbufu sana , mara anasusa mara cjui nn yaan najiuliza ni wote wako hivyo au nn shida..!!
Wana JF hebu nipeni taarifa fupi background kdg ya pisi za aina hii ,Nizielewe vzr , Nipeni Experience zenu juu yao...
meshack allyson
Ahaaa usihofu,mi nimpenzi sana wakutafuna senene.ID zingine ni kujitafutia laana tuu eti NAWATAFUNA !
Eti kuku kakwepa mwewe!!!!!.....Uzuri wao ni flexibility kwny staili zote, hawakuangushi -
✓popo kany.ea mbingu,
✓kuku kakwepa mwewe,
✓mbuz kagoma kwenda,
nk,nk
Wengi wana wembamba mpaka wa akili
Duh!!!Ni kwa vile moyo wao upo karibu na ngozi ndo maana mda wote wapowapo tu
Mzee jaribu kukapeleka lodge, yawezekana kweli ana mtu hapo kitaa hivyo anaogopa kuja geto kwako itakua msala wanafiki wengi.Kuna kamoja kananisumbua balaa ,yaan madem wembamba shida Sana ,kana nutesa balaa Mara Nina mtu wangu siwez kuwa na wewe ,nikikapa zawad kanapokea ,nikikaita sehem yoyote kanakuja fresh tu ila kasoro geto kwangu ndio hakatak hata kusikia ,nikikambia kaje jion na kigiza Giza sehem tofaut na kwangu yaan kaje nikabusu busu na kukashika shika kanakuja fresh tu.
Ajab had pants nakanunulia na kanafurah balaa na kunishukuru Sana ila kuja geto ndio hakatak ,had nawaza kukapulizia njian humo humo tunamokutana lakin naona hadhi yangu sio ya kupigia manz polin na ikatokea nimekutwa itakuwa aibu Sana ,yaan hutu tudem Ni shida Sana aisee na sielew Ni kamtu ka aina gani haka kadem.
Sema Ni ka modo fulani ka kitusi ila sio flat kiivo tunyama tupo tupo kidogo plus kifua ndio kananimaliza kabisa ,ila ngoja nijipe muda tu ipo siku katakunjua ,na kakija jichanganya hiyo siku nadhan kataisoma namba maana nimekaandalia Kila aina ya pigo
Wazo zuri hili ,ngoja nibadir gia Sasa ,Asante kwa wazo la kibabe mwamba ,yaan haka kamanz Ni katusi jamii ya huko Rwanda japo kamezaliwa tz ,Ni kakisu balaa ,kifua Sasa Ni shida ,stek za nyuma zipo za kushika wastan yaan kwa kifup Ni ka modo ka haja ,nam nimejiapiza kukakosa haka kamanz ntakuwa bonge moja la fala.Mzee jaribu kukapeleka lodge, yawezekana kweli ana mtu hapo kitaa hivyo anaogopa kuja geto kwako itakua msala wanafiki wengi.
Jiongeze arifu