Hivi paracetamol na Hennessy hawana ugomvi?

Hivi paracetamol na Hennessy hawana ugomvi?

Prof Janabi wa JF

Senior Member
Joined
Jul 7, 2023
Posts
189
Reaction score
489
Guys, achana na story kwamba mimi ndio yule mtz aliyewauza watz, haihusiki na mimi, nilichangamsha genge. Nilirudi Tz ili nipate mrembo wa kwenda naye duniani, nikarudi mrembo akazingua nikaona sio kesi, nikasajili namba mpya. Hii namba mpya iko serious aisee, kwanza anapiga kazi zaidi ya Mafwele yaani akigundua kuna mtu nimemtia sound huko atakipata cha mtema kuni.

Picha linaendelea nikamuhakikishia mrembo kwamba yeye ndio mwenye nyumba, funguo na kila kitu cha hapa nilipopanga anacho yeye basi anapaita kwake. Kumbuka nina kama wiki hivi niko naye, nikasema naam nataka mrembo wa hivi ambaye anajua vyangu ni vyake. Basi bwana si unajua kuna wanostruggle kupata hata bundle, muhuni nawaambia wajiunge post paid la mwezi na nalipa sina sihda, watoto wanajua ewaa mbaba si ndio huyu!

Kumbuka nikisha prove kwamba nimetoka Marekani kuja hapa mara moja tu kutafuta mke nateleza tu. Kwa mkwara nawaonesha account yangu ya Marekani inadola ngapi ambapo wakipiga hesabu wanaiona tajiiiri wakati nikiwa Marekani ukifanya approximation nakuwa Homeless. Basi bwana kwenye one and two mrembo mmoja nikaanza kumuhudimia kila zaga. Bongo ukihudumia unaonekana wewe unazo, kumbe ni hela ya side dishes kwa wenzetu.

Baadae nikaona mama mjengo hayupo ngoja nivute kitu kipya. Mimi formula yangu ni moja, nikikufiuata leo, ukavua chupi leo thamani yako inaongezeka. Naheshimu wanaoniamini kuliko wanotaka kunijua ili waniamini. Sasa huyu mrembo alivua the first day nakutana naye so nikampa VIP treatment. (Naheshimu sana mtu ambaye anajua naniliu ni jambo muhimu kwa wanaume)

Kwenye one and two mrembo nikamwambia timba makao makuu... hapo nishajipanga, American games kama zote na michezo ya hatari hatari mzee wenu. Mtoto anaingia makao makuu kumbe mama mjengo alishanotice vitu haviko sawa akawa anafanya umafwele wake. Hili ingizo jipya limeingia ili tucheze kimarekani mama mjengo naye kaingia...

Hakuna kuachana akamfanyia bonge la movie mimi nimekaa naangalia tu, hapa niko na chupa ya hennessy ambayo tulipanga kuitumia kwenye game naitumia mwenyewe maana yule ingizo jipya amesepeshwa na mama mjengo ameenda kwenye harakati zake.

Sema nimewaza sana hadi kichwa kinauma so nikagonga paracetamol, hivi hazina madhara ukipiga na vikali?
 
Halafu ccm mnamambo ya hovyo, watu tunawaza 29 uchafuzi, wewe unatulete maharagwe mabovu iapa.
 
Naheshimu wanaoniamini kuliko wanotaka kunijua ili waniamini.
Watch out for them demons in human form

Narcissist 101



And this girls is why you don't sleep with them before marriage. Purge those demons away.
 
Wabongo hawapendi gudi vaib, utakula madongo ya kutosha
Wewe waambie unapigika na mpaka sasa hujaona ndani, na imebaki wiki unatolewa kwenye chumba....
 
Wabongo hawapendi gudi vaib, utakula madongo ya kutosha
Wewe waambie unapigika na mpaka sasa hujaona ndani, na imebaki wiki unatolewa kwenye chumba....
Ni kweli... nadhani ni kutokana na ugumu wa maisha ulipo ambao kila mmoja anataka na mwengine naye apitie ili ajifariji
 
Panadol na bia haina shida.
Hasa kama ni mara moja na sio kitu cha kujirudia.
Side effects ni kuwa Itakuletea uchovu.

Sasa ww una manzi ushampa mavyeo yote unapelekaje manzi nyingne home?.

Alaf Manzi umesema ana umafwele kama wote. Anajuaje info zako. Au nyiny ndio wale mnajidai Honest. Na Sim unaiacha uchi uchi na kuambiana password ya sim?.

Man up bro. Mchepuko anajuaje kuwa una mchepuko?.
Ukishaoa ndoa utaiweza kweli?.
 
Panadol na bia haina shida.
Hasa kama ni mara moja na sio kitu cha kujirudia.
Side effects ni kuwa Itakuletea uchovu.

Sasa ww una manzi ushampa mavyeo yote unapelekaje manzi nyingne home?.

Alaf Manzi umesema ana umafwele kama wote. Anajuaje info zako. Au nyiny ndio wale mnajidai Honest. Na Sim unaiacha uchi uchi na kuambiana password ya sim?.

Man up bro. Mchepuko anajuaje kuwa una mchepuko?.
Ukishaoa ndoa utaiweza kweli?.
Hizi ndio comment tunaita bro to bro.

Thumbs up brother. Niko honest kwa kiasi, kiwango cha uongo kwangu ni 2%
 
Hizi ndio comment tunaita bro to bro.

Thumbs up brother. Niko honest kwa kiasi, kiwango cha uongo kwangu ni 2%
Honest iwe na kikomo bro.
Alaf its a two way traffick.
Ina maana na ww una mchimba msichana wako, kitu ambacho kinaweza kukuletea madhara someday.

Mwambie tu manzi yoyote unaekuwa nae kuwa ww ni mwanaume wake na hautarajii awe na mwanaume mwingne. Na siku ukigundua ana kucheat unampiga Risas za matako (😁😁😁 natania).

Ila lazima uonyeshe ukali na msimamo kama Mwanaume Jasiri.
And then unamuacha huru. Usimbane bane.

Ili na ww akuache asikubane bane.
 
Hawa Gz kuikomboa nchi ni ngumu sana kwa akili hizi
 
Honest iwe na kikomo bro.
Alaf its a two way traffick.
Ina maana na ww una mchimba msichana wako, kitu ambacho kinaweza kukuletea madhara someday.

Mwambie tu manzi yoyote unaekuwa nae kuwa ww ni mwanaume wake na hautarajii awe na mwanaume mwingne. Na siku ukigundua ana kucheat unampiga Risas za matako (😁😁😁 natania).

Ila lazima uonyeshe ukali na msimamo kama Mwanaume Jasiri.
And then unamuacha huru. Usimbane bane.

Ili na ww akuache asikubane bane.
This is real brotherly talk... nimechukua hii.
 
Back
Top Bottom