Hivi nyumba kama hii inaweza gharimu Shilingi ngapi?

Hivi nyumba kama hii inaweza gharimu Shilingi ngapi?

RGforever

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2011
Posts
6,877
Reaction score
5,444
Mpaka Imalizike
 

Attachments

  • 1438315846866.jpg
    1438315846866.jpg
    87.6 KB · Views: 3,995
Inategemea ukubwa wa nyumba wenyewe, square meter za mraba ngapi? Hata hivyo kama una michoro yake ni rahisi kukokotoa gharama halisi ya hiyo nyumba.
 
Inategemea unaijengea wapi mkuu!! Maana gharama za ujenzi zinapishana kutoka eneo moja hadi lingine!! Kwa aliesema haipungui mil. 800 yuko sawa kabisa!! Iwe kwa mkandarasi au ukomae mwenyewe bado itavuka 8000.
Kwa mujibu wa oxfam, worldvision, kuna shule ambayo ni ya kawaida sana ila wamesema darasa moja limegharimu mil. 75. Kuanzia msingi hadi kuezeka!!
Sasa hapo kuna ghorofa 1 hivyo inaweza kuwa sawa na madarasa 10.
 
b4 finishng, about 150-200m is needed then 80m for finshng.. this depends on the sqm
 
ukisimamia mwenyewe ujenzi hapo bila mkandarasi haizidi m 200..!hii kitu ni my life dream...
 
Finishing itategemea unataka iweje na ndio itaongeza bei kuwa kubwa zaidi au kupungua

Lakini hadi hapo ilipo ipo around m100 to m150
 
Back
Top Bottom