Kelsea
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 13,218
- 30,751
hayaNdio yuko njiani, bill juu yangu
hayaNdio yuko njiani, bill juu yangu
Weee hujanijua mbona. Nisikie hivi hivi tu kwa mbali. Tiba ya machungu yangu siku zote ni machozi. Nisipolia ujue balaa litakua kubwa zaidi.Unajua tatizo lako?
hujui kulia
Basi kama unaliaga na bado mgumu hivi basi unajua kuchukia kupitiliza totooWeee hujanijua mbona. Nisikie hivi hivi tu kwa mbali. Tiba ya machungu yangu siku zote ni machozi. Nisipolia ujue balaa litakua kubwa zaidi.
Ndiooo, mtu akiniudhi nikichukia kazi ataipata. Ila sio mwepesi wa kuchukia ukiona hivyo ujue yalinifika shingoni.Basi kama unaliaga na bado mgumu hivi basi unajua kuchukia kupitiliza totoo
Pole sana totoo, naomba radhi kwa niaba yake plz msamehe amegundua alikosea sana totooNdiooo, mtu akiniudhi nikichukia kazi ataipata. Ila sio mwepesi wa kuchukia ukiona hivyo ujue yalinifika shingoni.
Kama anampenda mke wake afike ofisi ya utumishi akutane na meneja utumishi na amuulize kuhusu taarifa za overtime kwa mkewe.Akifika mapokezi asieleze dhamira yake zaidi aseme ni suala binafsi na akomae hivyo na hata wakimuuliza yeye ni nani asiseme ukweli adai yeye ni mwananchi katika eneo husika.Asiporizika na majibu ya meneja utumishi (Human resource manager) afike ofisi ya Mkuu wa wilaya.Akijiridhisha na majibu, uamuzi ni wake.Akigundua anadanganywa na mkewe aje atupe mrejesho hapa au pale kwa mzee Uwesu mkaanga njuguLeo asubuhi nimepata wasaa wa kutembelea rafiki yangu comrade wangu wa siku nyingi, nimemkuta yuko na pilikapilika za kufua nguo zake za kesho kazini na huku anaanda breakfast.
Kumuuliza kulikoni kasema wife siku hizi anapewa overtime ya jmosi na j2 kwa hiyo anarudi saa 12 jioni, niliguna, nikajiuliza hivi pesa na ndoa kipi muhimu?
Alimkataza msichana wakazi kwasababu watoto wote 4 wako shule za bweni mpaka likizo ndo msichana wakazi ndo anaruhusiwa kuja, nyumba kubwa anakaa peke yake kama masikini mpweke, nikaona ndoa hii haina maana kama ni utelezi si masingo maza wamejaa kila mtaa kwanini nipate "psychological torture" ya kujifanya nina mke wakati naonana nae masaa tu afu usiku na amechoka mara 100 nioe wa form 4 failure ila ile dhana/matiki ya kuoe itimie.
Nimemkataza asiniandalie chai nimeshiba baada ya kuona anangaika, na muda wa stori hana nikamuaga kwasababu niliona anaona aibu kutoa nguo za mkewe kuzifua pia niliona nguo kwenye beseni za kike, looh!
anawapenda... anashindwa kuwapataKwaio thread yako bila kutaja single mother. Ungeamka asubuh haisimami kesho? Si useme wanawake
sawa.Pole sana totoo, naomba radhi kwa niaba yake plz msamehe amegundua alikosea sana totoo
Kwanini wafanya mambo ya kike unatuangusha sisi tulio somea Cuba.Kwahiyo jamaa yangu umekuja nianika hapa? Acha hizo kufua ni upendo unajua mke wangu ananipa nn?
Aaah anazingua sijui anawaonaje single mother, sio kauli nzuri aliyotumia kabisaKwaio thread yako bila kutaja single mother. Ungeamka asubuh haisimami kesho? Si useme wanawake
me ndo maana sitaki usela mwingiii nyumbani kwangu we tukutane huko huko kwa miaka kumiiMkuu yule ni comrade wangu tulikaa nae shule na nje ya nchi zaidi ya miaka 10 lazima ni mind maisha yake, "a friend in need is indeed a friend"
Exactly na mimi hiyo perception yako na ipanda sana kuna wakati naitumia.Unajua hawa wanawake ili uishi nao..lazima uwe na ka ukatili kidogo na kumuonyesha kuwa unaweza kushi bila yeye....hii tabia ya kuwanyenyekea na akisha kuzalia ndio akuburuzeee Mimi kwangu nimeshakataa mzee...binafsi wife alikuwa mbali na Mimi...kwa kuwa Mimi ndio nilipata Chaka lingine la kuhangaikia na maisha...nilimwambia malizia Huo Mkataba wako wa miezi mitatu ili upate stahiki zako za mifuko ya kijamii then uje huku...ila kama hautakuwa tayari niambie nielewe...ndani ya hiyo miezi mitatu alikuja na alipomaliza akaja Mazima ...nipo nae hapa.anafua na kupika....Mimi kwa kifupi ananielewa siogopi wala siwazi kuishi bila yeye....ni ujinga...usipokuwa makini hawa watu watakutesa sana...
Atakuaga yuko overtime kumbe anagongwa na mwana mwingine... halafu ukimuuliza eti overtime...overtime ya nyokoooooooo
Umshauri kwanini? Achana na mambo ya watu. Ukiona ndoa imedumu jua kuna kubebana na kukamilishana.Mkuu yule jama shida ya pesa hana kwasbb najua kazi zake na vitega uchumi vyake, ila naona anateseka kweli kweli, sikumuabia ila ntakuja nimshauri kwasbb pesa anazo ila ndoa ndo hivo.
Naomba mnisamehe kama ni mewaudhi....ila sisi wote tukemei kitendo cha usingo maza unamadhara kibao katika watoto na jamii kwa ujumlaAaah anazingua sijui anawaonaje single mother, sio kauli nzuri aliyotumia kabisa
Matured enoughUmshauri kwanini? Achana na mambo ya watu. Ukiona ndoa imedumu jua kuna kubebana na kukamilishana.
Kumbe una akiliHakuna mwanaume hapo; ela ya mke haina tija ndani ya ndoa
Kumbe una akili
Brother kuwa realistic,Wanaume wanaume.
Mimi kamwe sitakubali kuishi kwa uchungu kisa pesa au mali.
Jambo la kwanza nitambwambia aachane na overtime, akikataa na akaendelea kuwa mkaidi....nitamwambia achague kati yangu au overtime...
Baada ya majibu yake ninafanya maamuzi ya wazi.
Yanini uwe na dunia nzima lakini ukawa mtumwa wa mali bila furaha?