Kilahunja
JF-Expert Member
- Dec 19, 2011
- 1,502
- 341
Kama huwa husomi threads za Lizzy, umejuaje kama ni za kufikirika?? Alafu kuwa reasonable katika arguments zako, unawaambia watu kwamba 'mtabisha' maanake nini sasa? Watu wasipinge ila wakubaliane na mawazo yako tu na wakusupport kwa kila ulichandika sio?? Siku nyingine ukikosa hoja, unakula pumzi kwanza ndo unapata neno la kufix.....
ua so ver genious..big up to ua parents 4 raisin such a personality in u.