katoto kazuri
JF-Expert Member
- Feb 10, 2018
- 6,126
- 5,756
Kama hutaki kuoa siuache unamchukua binti wawatu halafu matokeo yake unamuua na umalaya wako unalala na kila msichana unaweka mimbegu.
Halafu unakuja humo ndani yanyumba kisa mkeo amejua unamuua .
Kama mnaona mmeshindwa kukituliza hicho kitu chenu mwambie mkeo naomba tuachane kuliko kumtoa mtu uhai kisa ushenzi tu
Na hii shida ni kwamba unaolewa na limbukeni na watu ambao akili hakuna
Ila wanaume mnachosha kabisa.