Hivi nyie wanaume mkoje?

Nimechakaaaa sanaaaaaaaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤭🤫🤫🤫🤫🤫🤫
 
Wewe bila shaka umevunja ungo mwezi jana, maneno yako yenyewe sio sitaha halafu unekuwa umepevuka akili usingeleta humu hayo ni mambo yenu! Una shida halafu unaleta nyodo !
 
Haya mawazo huwa unakuwa nayo wakati gani? Ukishakula hela ya nauli au kabla?
 
Hawa ndo wale wakifikisha miaka 35 tu.. utasikia anahitaji mwanaume yeyote cha msingi awe anapumua [emoji23][emoji23][emoji23] hana tofaut na wa namba yangu nani kakupa
 
Wewe bila shaka umevunja ungo mwezi jana, maneno yako yenyewe sio sitaha halafu unekuwa umepevuka akili usingeleta humu hayo ni mambo yenu! Una shida halafu unaleta nyodo !
Hivi hujanioa unile kizembee tu unifurukute usiku asubuhi kisa mtu anaye stahili hivyoo ni mtu ambaye amejitosa mengi sana kwako.
Mzee huwa anapewa raha pale ameonyesha juhudi.
Hakuna mtu kirahisi tu umfuate mtu eti kisa huna mtu wa kukuoa weee acha hizo nichome nauli ,ni waste muda wangu,kisa kwenda kujitolea??
Mimi sina undugu naye nasio mama yake.
Kila mtu afe kivyake.
Yeye aje nilipokama mi muhimu kwake wewe ndio huna,akili kabisaaa laiti ungejichunguza .
HUJAMUONA MTU KWA MACHO HUJAWAHI HATA KUKAA NAYE TU JAPO 5 MINUTES HUYOO KUKUU UNAKATA TIKETI UNAMFUATA .
POLEE NIFUATE PM NIKUPE NAMBA ZAKE HALAFU UMPE NDUGU ZAKO WA KIKE WAKAJITOSE
 
Hawa ndo wale wakifikisha miaka 35 tu.. utasikia anahitaji mwanaume yeyote cha msingi awe anapumua [emoji23][emoji23][emoji23] hana tofaut na wa namba yangu nani kakupa
Hivi hujanioa unile kizembee tu unifurukute usiku asubuhi kisa mtu anaye stahili hivyoo ni mtu ambaye amejitosa mengi sana kwako.
Mzee huwa anapewa raha pale ameonyesha juhudi.
Hakuna mtu kirahisi tu umfuate mtu eti kisa huna mtu wa kukuoa weee acha hizo nichome nauli ,ni waste muda wangu,kisa kwenda kujitolea??
Mimi sina undugu naye nasio mama yake.
Kila mtu afe kivyake.
Yeye aje nilipokama mi muhimu kwake wewe ndio huna,akili kabisaaa laiti ungejichunguza .
HUJAMUONA MTU KWA MACHO HUJAWAHI HATA KUKAA NAYE TU JAPO 5 MINUTES HUYOO KUKUU UNAKATA TIKETI UNAMFUATA .
POLEE NIFUATE PM NIKUPE NAMBA ZAKE HALAFU UMPE NDUGU ZAKO WA KIKE WAKAJITOSE
 
Haya mawazo huwa unakuwa nayo wakati gani? Ukishakula hela ya nauli au kabla?
Hivi hujanioa unile kizembee tu unifurukute usiku asubuhi kisa mtu anaye stahili hivyoo ni mtu ambaye amejitosa mengi sana kwako.
Mzee huwa anapewa raha pale ameonyesha juhudi.
Hakuna mtu kirahisi tu umfuate mtu eti kisa huna mtu wa kukuoa weee acha hizo nichome nauli ,ni waste muda wangu,kisa kwenda kujitolea??
Mimi sina undugu naye nasio mama yake.
Kila mtu afe kivyake.
Yeye aje nilipokama mi muhimu kwake wewe ndio huna,akili kabisaaa laiti ungejichunguza .
HUJAMUONA MTU KWA MACHO HUJAWAHI HATA KUKAA NAYE TU JAPO 5 MINUTES HUYOO KUKUU UNAKATA TIKETI UNAMFUATA .
POLEE NIFUATE PM NIKUPE NAMBA ZAKE HALAFU UMPE NDUGU ZAKO WA KIKE WAKAJITOSE
 
Kwahiyo ww unachotaka akufate au unachotaka ni nn? Au humpendi hauhitaji kuwa nae?
 
Na mkome kuomba kutumiwa hela kabla hamjatuona ana kwa ana
 
Nenda peleka Papa hyo acha kulalamika wakati kuna Dushe inakusubiri
 
Kuahidiana uahidiane na yeye, lawama kwa wanaume wote?

Sawa hiyoo?

Haaaataaa!

Hiyo si sawa mwanamke, wacha vitukooo.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…