1. Mwanafunzi wa kike ukiacha aendelee na masomo vipi kuhusu huyu wa kiume aliempa mimba kwanini yeye asimamishe masomo na ikiwezekana afungwe? Labda tukubaliane kuwa wote wawili wasifanywe chochote inamaana hapo tumeruhusu ngono mashuleni, shule zitakuwa kiwanda cha kutotolesha watoto, ukimpeleka binti yako shule umempelekea mke mvulana flani hapo shuleni je tutaiweza hali hii?
2. Majukumu ya kulea au kutunza mtoto pia tuyatungie sheria itakuwa kazi ya nani? Babu au huyohuyo binti? Kumbuka baba wa mtoto atakuwa jela akitumikia miaka yake 30, kama ni kazi ya binti ataweza kusoma na kutunza mtoto? Kwa wazazi tunajua malezi ya mtoto yalivyo gharama hivi mwanafunzi ataweza na bado afanye vizuri kwenye masomo yake? Babu na bibi ndio watunze mtoto? Watawezea wapi kama karo ya 20, 000 tu kwa mwaka iliwashinda? Na kwanini wabebe mzigo wa makosa ya mtu mwingine? Haya elimu yetu unaijua ilivyo ndefu inamaana mtoto atamkuta mzazi shule nani atamsomesha huyu mtoto babu au binti mwenyewe? Anatoa wapi pesa ilihali yeye bado mwanafunzi? Au babu aache kusomesha wanawe asomeshe wajukuu na wajukuu wakipata mimba wazae pia? Mnatania nyie.
3. Mzazi anahitaji kwa siku masaa kadhaa kwa ajili ya kunyonyesha mtoto hili ni jukumu la mama pekee hawezi kumwachia mtu mwingine, je mama akienda kunyonyesha masomo yasimame yamsubiri au masomo yaendelee? Tutaongeza miezi ya kukaa shule ili kufidia muda wa mzazi kunyonyesha? Au mzazi akoswe baadhi ya vipindi? Atadai haki ya kusoma vipindi sawa na wengine na akivikosa ufaulu wake utakuwa sawa na huyu asiekuwa mzazi? Haya akirudi jioni nyumbani atakaa kuangalia mtoto atajisomea sangapi?
4. Wanajificha kwenye hoja ya ubakaji eti ooh! Wanabakwa jamani ubakaji ni uharifu kama uharifu mwingine hatuwezi kuharalisha dhambi sababu ya dhambi nyingine. Acha kesi ya ubakaji ishughulikiwe kama kesi ya ubakaji, mbakakaji nje ya mimba anaweza kumuambukiza binti UKIMWI pia basi tuhalalishe na ubakaji ili mubakaji atumie kondom asimuambukize UKIMWI mhanga wa kubakwa! Acheni unafiki in the name of utetezi wa wanawake na watoto mnawaingiza kwenye janga kubwa zaidi ya hili walilonalo sasa.
5. Oooh! Wanatembea mwendo mrefu umbali wa kilomita 7 kwenda shule ndio maana wanapewa mimba na makondakta shame sasa akiruhusiwa kuendelea na masomo ndio umbali utapungua? Kumbuka sasa utaongezeka mara mbili zaidi maana atarudi kunyonyesha sasa hapo ndipo atapata mimba ya mapacha kabisa, hivi mnatumia nini kuwaza jamani ili kuwa 7x2 sasa itakuwa 7x4 umemsaidia au umemuongezea mzigo. Na nikumbushe akifikisha watoto wawili hata umruhusu kusoma hiyo shule itamshinda tu.
Mimi kwa hili naungana na Rais bila wasiwasi kumbuka mimi ni mzazi nina binti wangu pia, nina dadazangu pia, so usijifanye wewe ndio mwenye uchungu sana.
Angalau mtupe mfano wa nchi iliyokuwa hairuhusu baadae ikaruhusu je walifanikiwa au walididimia zaidi? Watoto wetu wasiwe wa majaribio.
2. Majukumu ya kulea au kutunza mtoto pia tuyatungie sheria itakuwa kazi ya nani? Babu au huyohuyo binti? Kumbuka baba wa mtoto atakuwa jela akitumikia miaka yake 30, kama ni kazi ya binti ataweza kusoma na kutunza mtoto? Kwa wazazi tunajua malezi ya mtoto yalivyo gharama hivi mwanafunzi ataweza na bado afanye vizuri kwenye masomo yake? Babu na bibi ndio watunze mtoto? Watawezea wapi kama karo ya 20, 000 tu kwa mwaka iliwashinda? Na kwanini wabebe mzigo wa makosa ya mtu mwingine? Haya elimu yetu unaijua ilivyo ndefu inamaana mtoto atamkuta mzazi shule nani atamsomesha huyu mtoto babu au binti mwenyewe? Anatoa wapi pesa ilihali yeye bado mwanafunzi? Au babu aache kusomesha wanawe asomeshe wajukuu na wajukuu wakipata mimba wazae pia? Mnatania nyie.
3. Mzazi anahitaji kwa siku masaa kadhaa kwa ajili ya kunyonyesha mtoto hili ni jukumu la mama pekee hawezi kumwachia mtu mwingine, je mama akienda kunyonyesha masomo yasimame yamsubiri au masomo yaendelee? Tutaongeza miezi ya kukaa shule ili kufidia muda wa mzazi kunyonyesha? Au mzazi akoswe baadhi ya vipindi? Atadai haki ya kusoma vipindi sawa na wengine na akivikosa ufaulu wake utakuwa sawa na huyu asiekuwa mzazi? Haya akirudi jioni nyumbani atakaa kuangalia mtoto atajisomea sangapi?
4. Wanajificha kwenye hoja ya ubakaji eti ooh! Wanabakwa jamani ubakaji ni uharifu kama uharifu mwingine hatuwezi kuharalisha dhambi sababu ya dhambi nyingine. Acha kesi ya ubakaji ishughulikiwe kama kesi ya ubakaji, mbakakaji nje ya mimba anaweza kumuambukiza binti UKIMWI pia basi tuhalalishe na ubakaji ili mubakaji atumie kondom asimuambukize UKIMWI mhanga wa kubakwa! Acheni unafiki in the name of utetezi wa wanawake na watoto mnawaingiza kwenye janga kubwa zaidi ya hili walilonalo sasa.
5. Oooh! Wanatembea mwendo mrefu umbali wa kilomita 7 kwenda shule ndio maana wanapewa mimba na makondakta shame sasa akiruhusiwa kuendelea na masomo ndio umbali utapungua? Kumbuka sasa utaongezeka mara mbili zaidi maana atarudi kunyonyesha sasa hapo ndipo atapata mimba ya mapacha kabisa, hivi mnatumia nini kuwaza jamani ili kuwa 7x2 sasa itakuwa 7x4 umemsaidia au umemuongezea mzigo. Na nikumbushe akifikisha watoto wawili hata umruhusu kusoma hiyo shule itamshinda tu.
Mimi kwa hili naungana na Rais bila wasiwasi kumbuka mimi ni mzazi nina binti wangu pia, nina dadazangu pia, so usijifanye wewe ndio mwenye uchungu sana.
Angalau mtupe mfano wa nchi iliyokuwa hairuhusu baadae ikaruhusu je walifanikiwa au walididimia zaidi? Watoto wetu wasiwe wa majaribio.