Hivi nyie kina dada mna nini?

TAITUZA

Member
May 2, 2011
94
34
Jamani inanishangaza, hii si mara ya kwanza kuliona na leo nimeamua kulivalia njuga. Jamani hebu liangalieni hili, utakuta mwanamke, mdada bado hakubahatika kuolewa na ukimfuatilia kwa undani utagundua ana kazi yake nzuuuuuuri tuu,ila hana cha boyfriend wala fiancee. Cha ajabu kila cku anajivalia pete ya ndoa tena ya gharama kubwa,tena wakati akitembea anaurusha ule mkono wenye pete kwa maringo makubwa ili kila apishanaye aione. Hivi hamuoni kama hii ni kutaka kujipotezea bahati ya kuolewa au? Au wana jf mnalizungumziaje hili?
 
Unaposema anajipotezea bahati ya kuolewa kwani anakua amekwambia anataka kuolewa??Unajuaje kama havai kwasababu hiyo hiyo kwamba hataki ndoa hivyo anavaa ili wamtambue kama mke /mchumba wa mtu??Au unajuaje kama havai ili awavutie wale wanaopenda wake za watu??Hapo anapata mahusiano yasiyo na ulikua wapi au kwanini simu unazima usiku!!Kabla hujajua kwanini mtu anafanya kitu ambacho sio uasi wa aina yoyote ile chunguza sababu kabla ya kumhukumu!
 
Ngoja wanaovaa hizo pete waje watwambie. As for me naona sababu inaweza kuwa, 1.Desperation 2. Kujikatia tamaa 3. Hapendi kuolewa so hataki usumbufu and so on and on
 
Unaposema anajipotezea bahati ya kuolewa kwani anakua amekwambia anataka kuolewa??Unajuaje kama havai kwasababu hiyo hiyo kwamba hataki ndoa hivyo anavaa ili wamtambue kama mke /mchumba wa mtu??Au unajuaje kama havai ili awavutie wale wanaopenda wake za watu??Hapo anapata mahusiano yasiyo na ulikua wapi au kwanini simu unazima usiku!!Kabla hujajua kwanini mtu anafanya kitu ambacho sio uasi wa aina yoyote ile chunguza sababu kabla ya kumhukumu!
kweli Lizzy,kuna mwingine hapendi kumilikiwa,kuwa under control ya m2 so bora awarushe tu kwa pete ili ata ukiwanae ujione mwizi which means utakuwa na limit kwenye mipango/ratiba or maamuzi yake
 
kweli Lizzy,kuna mwingine hapendi kumilikiwa,kuwa under control ya m2 so bora awarushe tu kwa pete ili ata ukiwanae ujione mwizi which means utakuwa na limit kwenye mipango/ratiba or maamuzi yake
Kwani kuolewa ni kumilikiwa?
 
Kuepuka usumbufu. Unajua kuna baadhi ya wanaume wakiona mdada ana pete ya ndoa wanamwogopa na kumpa heshima kama mke wa mtu.
 
nimejaribu kutafuta kwenye biblia andiko linalohusu pete za ndoa au engagement rings kama muitavyo lkn cjafanikiwa kuona!!!

hivyo basi kwangu mimi hata kama nikivaa nikama urembo tu!!! kama vile nivaavyo hereni, mkufu au urembo mwingine.

mambo mengine ni maandaliyo ya moyo tu ya mwanadamu!! kwani nyie mnavyotoga masikio na kusuka mnataka nini lakini??
 
kuvaa pete co tatzo asilimia kubwa ya watu wa namna hii huwa hawapend kufuatiliwa kimaisha na wanapenda kuwa huru muda wowote hvyo kuvaa pete ya ndoa inawapa mwanya wa wao kufanya kile wanachokiweza au kukipenda so haina tatzo ila tatzo linakuja kujua ni nan mke watu na nan cye. Dah! Kwel wanaume kaz 2nayo
 
nimejaribu kutafuta kwenye biblia andiko linalohusu pete za ndoa au engagement rings kama muitavyo lkn cjafanikiwa kuona!!!

hivyo basi kwangu mimi hata kama nikivaa nikama urembo tu!!! kama vile nivaavyo hereni, mkufu au urembo mwingine.

mambo mengine ni maandaliyo ya moyo tu ya mwanadamu!! kwani nyie mnavyotoga masikio na kusuka mnataka nini lakini??

Well stated super dear,hizi pete tumejiwekea sisi wanadamu kama alama ya utambulisho au pambo.....kwani watawa wanapovaa pete na hawana commitment za ndoa mwenye thread anawaelewa vipi?
Twende kule kwenye colour reflection tukatete
 
obvious, how else can u explain it? Unaweza kutuoa watatu lakini siwezi kuolewa na wawili. Which means kuoa ni kumiliki na kuolewa ni kumilikiwa.

Una mtazamo na mawazo hasi sana dhidi ya ndoa.
Kama unahisi au unaona kuna tatizo fulani ktk muundo wa ndoa, elimisha jamii iyafanyie kazi na iondokane nayo kuliko kudhalilisha wanandoa namna hii.
Achana na mawazo ya kudidimiza ndoa, tubuni njia za kuboresha na sio kubomoa
Sawa dada angu???
 
hapo mwanzo MUNGU alimuumba ADAM , kicha hakamuona ni mpweke ndipo HAWA akaumbwa, Kama HAWA hataki kuolewa huo ni ukatiri kwa ADAMU na kwake na nikinyme cha yeye kuendelea kuishi maana hana faida ya kuumbwa kwake


Unaposema anajipotezea bahati ya kuolewa kwani anakua amekwambia anataka kuolewa??Unajuaje kama havai kwasababu hiyo hiyo kwamba hataki ndoa hivyo anavaa ili wamtambue kama mke /mchumba wa mtu??Au unajuaje kama havai ili awavutie wale wanaopenda wake za watu??Hapo anapata mahusiano yasiyo na ulikua wapi au kwanini simu unazima usiku!!Kabla hujajua kwanini mtu anafanya kitu ambacho sio uasi wa aina yoyote ile chunguza sababu kabla ya kumhukumu!
 
sio wote wanaishi kwa kufuata bible , wengi tunaishi kwa kuiga western culture kwa hiyo mimi nadhani unachimba kwenye wrong source.
JE HUKO TULIKO HIGA HIZO PETE WANAMAANA GANI?

lakini pia kumbuka kwamba bible ina heshimu tamaduni zetu.

nimejaribu kutafuta kwenye biblia andiko linalohusu pete za ndoa au engagement rings kama muitavyo lkn cjafanikiwa kuona!!!

hivyo basi kwangu mimi hata kama nikivaa nikama urembo tu!!! kama vile nivaavyo hereni, mkufu au urembo mwingine.

mambo mengine ni maandaliyo ya moyo tu ya mwanadamu!! kwani nyie mnavyotoga masikio na kusuka mnataka nini lakini??
 
hapo mwanzo MUNGU alimuumba ADAM , kicha hakamuona ni mpweke ndipo HAWA akaumbwa, Kama HAWA hataki kuolewa huo ni ukatiri kwa ADAMU na kwake na nikinyme cha yeye kuendelea kuishi maana hana faida ya kuumbwa kwake
Umenifuharisha kweli ila ukweli ni kwamba kina HAWA wako wengi kwahiyo ni kiasi tu cha ADAMU kuchagua kati ya wale walio tayari kutimiza wajibu wao hapa duniani!!
 
ukimfuatilia huyo dada utagundua mengi sana kwake,nijuavyo hiyo ni gear yake ya kupata mabwana kwa mfano ukinikuta naye mimi utakaa mbali ukidhani yule ndo mwenyewe kumbe wapi, na ukijua unaiba huwa na mvuto wake tofauti,huyo ni mtu anapenda kuwa na wanaume tofauti tofauti
 
Jamani inanishangaza, hii si mara ya kwanza kuliona na leo nimeamua kulivalia njuga. Jamani hebu liangalieni hili, utakuta mwanamke, mdada bado hakubahatika kuolewa na ukimfuatilia kwa undani utagundua ana kazi yake nzuuuuuuri tuu,ila hana cha boyfriend wala fiancee. Cha ajabu kila cku anajivalia pete ya ndoa tena ya gharama kubwa,tena wakati akitembea anaurusha ule mkono wenye pete kwa maringo makubwa ili kila apishanaye aione. Hivi hamuoni kama hii ni kutaka kujipotezea bahati ya kuolewa au? Au wana jf mnalizungumziaje hili?
hapo kwenye pink hapo,kuolewa ni bahati? na kuoa je?
 
Nadhani anayesema pete ya (NDOA) ni urembo yeyote anaweza kuvaa hajui uhalisia wa maana ya ndoa yenyewe na hli nadhani ndo linafanya ndoa za leo zisidumu,maana unapoanza kuhoji na kuidharau taasisi ya ndoa sitegemei kama utakuja kuiheshimu mda wote,siku nyingne pia utahoji kwani ndoa nini bwana?

hao watawa wenye kuvaa pete halisi za ndoa umewaona wapi?kwahyo kama ulimwona leo ndo role mode wako siyo,

nachoelewa mie wasichana wamekuwa na vidole ambavyo kila kmoja hutoa tafsiri yake pale knapovalishwa pete,mfano natafuta mchumba,nimeolewa,sina mme/mchumba,sihitaji n.k lakini pia huwa ni pete tofauti kabisa

Nachokiona kwa sasa,wanawake hawataki tena ndoa,tuseme ukweli,ila pia wanachokichagua ni balaa zaidi maana kwenye magonjwa haya,umaskini huu sie wajomba tuna kibarua,maana anaranda tu,ksho anatoswa na mimba,mtoto akizaliwa anaelekezwa kwa mjomba,mjomba anakuwa baba,akiugua mjomba,daftari mjomba,viatu mjomba,WANAWAKE TAMBUENI NYINYI NI HAWA na kama hamtaki hili maana hata bible inasema naamini katu hamtobaki salama
 
Back
Top Bottom