Crispin Nyoni
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 413
- 90
- Thread starter
- #21
Jamani yaani kila nikimkumbusha bosi atutajie ni wapi hasemi ila anakaza kuwa tujiandae anakamilisha mpango atasema. Hivi mtu utajifunza nini kwenye nchi isiyo na amani?Masomo yatanoga kweli?