Kivipi....Kwa sababu wakati mwingine nahisi labda kama ningekuwa namfanyia uchunguzi kabla sijaona red light pengine ingekuwa tatizo. Lakini hii ya niki-doubt nafanikisha ni tatizo pia?
Ukimchunguza kuku hutamla....
una doubt sababu unajua toka mwanzo.....
Ni sawa na mtu aamue kuishi na Simba halafu aseme nikihisi damu
nitachunguza nitajua...
while simba kula nyama ni jadi yake...
mtani pole weeh!wakati mwingne ni raha kutokujua vitu vingine!
mwanadamu mpana sana rafiki yangu!
Girl nayeamua kuwa naye kabisa huwa tayari nimeamini ametulia na wala sitilii mashaka.
Labda nikupe kisa kidogo Siku tatu zilizopita X wangu alinipigia simu kunijulia hali na baada ya blah blah za hapa na pale nikamuuliza bado upo (wilaya jirani na nilipo), akanijibu ndiyo bado yupo huko, yakaishia hapo.
Jioni yake nikampigia kumuulizia rafiki yake mmoja juu ya hali yake (alikuwa mgonjwa na hayupo hewani) na kwamba nipate uhakika kama yupo kwake nikamtembelee........kumbe naye (X) alikuwepo hapo na si kweli kwamba hajarudi. Baada ya hapo alijifanya network inasumbua na akachanganyikiwa akihaha kidogo aanguke apitie wapi nisije kumkuta nikamuona muongo!!
Ndio maana bado najiuliza na nauliza hii hali ni nini?
Hiyo hutokea watu weengi
lakini kwa nini aogope wewe kumkuta hapo na umeshaa achana nae?
lazima utakuwa na 'nongwa' hivi..
huna 'dogo'....na wenzio wanakujua so wanakuficha ficha na kukukwepa
hilo ndo tatizo lako...
Mh! nongwa, afadhali umeiweka kwenye "quote"..........Ukweli ni kuwa hata simu X simpigii labda iwe kesi kama hiyo ya mgonjwa, hata habari ya maisha yake siitafuti na wala marafiki zangu hawajui nimeachana naye kwa lipi zaidi ya kuwaambia 'it was over' ili 'kumsitiri' (i guess).
Lakini kama sauti kutoka ndani inaniambia hapa unadanganywa au something wrong somewhere nitulie au unafanya maamuzi gani kwa hilo?
Unapo deal na women...
treat them like children....
dharau vitu vidogo...
Duh!
Hahaha. I thought men are the ones who never grow