shamajengo
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 1,217
- 1,431
Kwa sa hizi naishia kwwnye hii komenti kusoma ngoja niende kwenye kikao kwanza ntakuja kuendelea baadaeKwenye nafsi yako umepanga kumuoa au kula nakuondoka? kama unataka halali ongea nae kwa amani,la unataka uonje kama pipi as long as umejua kua ana mwenyewe plz usimuharibie muache aliharibu mwenyewe wewe usiwe sababu...
Mkuu ulitakiwa uandike kwa herufi kubwa hichi ulichokiandika