dean of student
Senior Member
- Jun 29, 2015
- 116
- 47
Kutokana na kasi na mwenendo mzuri wa serikali yetu hivi sasa chini ya Rais magufuli.
Na mimi nikiwa kama mtanzania mpenda maendeleo natamani sana kuteuliwa kuwa mkurugenzi au mkuu wa wilaya kwani najijua kabisa siwezi kuwa jipu na ninao uwezo mkubwa wa kufanya kazi kwa bidii na kwa juhudi kubwa.
Na kwa kuthibitisha maneno yangu nipo tiali kufanya kazi hata kwa malipo ya nusu mshahara na nikienda kinyume na masharti ya kazi nipo tiali kuwajibishwa kwa mujibu wa sheria.
Kikubwa zaidi kilichopo moyoni ni kushirikiana na viongozi wenzangu katika kuwa letea wananchi maendeleo.
Swali langu ni kuwa je nifanyeje ili niweze kuteuliwa katika katika nafasi hizo?
Na mimi nikiwa kama mtanzania mpenda maendeleo natamani sana kuteuliwa kuwa mkurugenzi au mkuu wa wilaya kwani najijua kabisa siwezi kuwa jipu na ninao uwezo mkubwa wa kufanya kazi kwa bidii na kwa juhudi kubwa.
Na kwa kuthibitisha maneno yangu nipo tiali kufanya kazi hata kwa malipo ya nusu mshahara na nikienda kinyume na masharti ya kazi nipo tiali kuwajibishwa kwa mujibu wa sheria.
Kikubwa zaidi kilichopo moyoni ni kushirikiana na viongozi wenzangu katika kuwa letea wananchi maendeleo.
Swali langu ni kuwa je nifanyeje ili niweze kuteuliwa katika katika nafasi hizo?