Hivi nifanyeje ili niweze kuteuliwa kuwa mkuu wa wilaya au mkurugenzi?

dean of student

Senior Member
Jun 29, 2015
116
47
Kutokana na kasi na mwenendo mzuri wa serikali yetu hivi sasa chini ya Rais magufuli.

Na mimi nikiwa kama mtanzania mpenda maendeleo natamani sana kuteuliwa kuwa mkurugenzi au mkuu wa wilaya kwani najijua kabisa siwezi kuwa jipu na ninao uwezo mkubwa wa kufanya kazi kwa bidii na kwa juhudi kubwa.

Na kwa kuthibitisha maneno yangu nipo tiali kufanya kazi hata kwa malipo ya nusu mshahara na nikienda kinyume na masharti ya kazi nipo tiali kuwajibishwa kwa mujibu wa sheria.

Kikubwa zaidi kilichopo moyoni ni kushirikiana na viongozi wenzangu katika kuwa letea wananchi maendeleo.

Swali langu ni kuwa je nifanyeje ili niweze kuteuliwa katika katika nafasi hizo?
 
N wazi kuwa viongozi wanazaliwa na kuendelezwa vipaji vyao.Ingawa Ukuu wa wilaya ni cheo cha kuteuliwa,namwomba mteuzi na wanaomsaidia waone haja kunipa nafasi hiyo ili waione kazi yangu.Kila nilipoteuliwa,kazi niliifanya kwa bidii kubwa na kwa mafanikio.

Darasa la kwanza monitor,darasa la tano hadi la saba kiranja mkuu,sekondari makam mwenyekiti debate club,waziri wa uchumi,makam mwenyekiti Assa,chuo katibu na Rais wa muda kwa miezi minne hatimaye waziri wa habari na utangazaji,baada ya kuanza kazi mwl mkuu msaidizi ,nilipohama shule kule nilipokwenda baada ya mwezi nikawa mwl wa Taaluma,mwenyekiti wa walimu wote wa Taaluma,mwl mkuu kwa miaka mitano hadi nikapewa cheti cha The most improved school in Tanzania kupitia Matokeo makubwa sasa BRN na sasa masomoni nilipo nikichukua Diploma ya Ualimu wa sekondari ni mkurugenzi wa mawasiliano na katibu wa mfuko wa maafa na starehe na kidogo niuchukue urais wa chuo ila siye wa Diploma tulizuiliwa kugombea kwa kigenzo cha muda wa kukaa chuoni baada ya kuona nitawadefeat wa naochukua degree.

Wengine wanaweza kuniona wa ajabu lkn nimeona ninawiwa kuisaidia nchi.
0752473710
 
Dhana ya uwongozi inaanzia shule, makundi kama UVCCM, WAWATA, YCCS na BAKWATA ukiweza kujenga hoja kule na kuteuliwa kuwa mwakilishi wa wilaya na mkoa. Vinginevyo ingia jeshini unaweza kuwa kanali mstaafu ukapewa wilaya au mkoa.
 
Tafuta mkuu wa wilaya mnyonge mnyonge mlipue kwa Magu kesho upewe ndoo! Ukurugenzi unaweza kujipa hata wewe mwenyewe kwa kufungua NGo ya ufugaji kuku nawe ukawa mkurugenzi mtendaji!
 
Kutokana na kasi na mwenendo mzuri wa serikali yetu hivi sasa chini ya Rais magufuli.

Na mimi nikiwa kama mtanzania mpenda maendeleo natamani sana kuteuliwa kuwa mkurugenzi au mkuu wa wilaya kwani najijua kabisa siwezi kuwa jipu na ninao uwezo mkubwa wa kufanya kazi kwa bidii na kwa juhudi kubwa.

Na kwa kuthibitisha maneno yangu nipo tiali kufanya kazi hata kwa malipo ya nusu mshahara na nikienda kinyume na masharti ya kazi nipo tiali kuwajibishwa kwa mujibu wa sheria.

Kikubwa zaidi kilichopo moyoni ni kushirikiana na viongozi wenzangu katika kuwa letea wananchi maendeleo.

Swali langu ni kuwa je nifanyeje ili niweze kuteuliwa katika katika nafasi hizo?
Anza kidogo kdg kama polepol then ingia stage ya kna mknda hapo utkuw umfnkiw kwa maelz na maelkz zaid waclian na mknda au rz1!
 
Back
Top Bottom