B BEHOLD JF-Expert Member Joined Nov 17, 2013 Posts 5,056 Reaction score 10,729 Jan 13, 2018 #1 Na hasa ikiwa maneno hayo yanatamkwa na viongozi wa dini?
Nokia83 JF-Expert Member Joined Jan 16, 2014 Posts 24,643 Reaction score 44,371 Jan 13, 2018 #2 Naww una kichwa kigumu sn kuelewa
carcinoma JF-Expert Member Joined Mar 5, 2017 Posts 5,059 Reaction score 13,802 Jan 13, 2018 #3 Huyo ni comedian kama wakina joti na kingwendu.. Usimuweke kwenye kundi la viongozi wa dini
madia madia JF-Expert Member Joined Sep 30, 2017 Posts 717 Reaction score 701 Jan 13, 2018 #4 BEHOLD said: View attachment 674791 Na hasa ikiwa maneno hayo yanatamkwa na viongozi wa dini? Click to expand... Mzigo maana yake ni sifa kafungashia au kajaaliwa chura.... Pole.
BEHOLD said: View attachment 674791 Na hasa ikiwa maneno hayo yanatamkwa na viongozi wa dini? Click to expand... Mzigo maana yake ni sifa kafungashia au kajaaliwa chura.... Pole.
quier JF-Expert Member Joined Nov 23, 2017 Posts 440 Reaction score 1,603 Jan 13, 2018 #5 Lazima utakua na kibamia wewe....!!
madia madia JF-Expert Member Joined Sep 30, 2017 Posts 717 Reaction score 701 Jan 13, 2018 #6 quier said: Lazima utakua na kibamia wewe....!! Click to expand... Mmmmh!
B BRADF Member Joined May 9, 2017 Posts 35 Reaction score 13 Jan 13, 2018 #7 Duh! Kwa upande wangu cjaona kama alimaanisha wanawake kama ni mizigo ila mizigo maana alimaanisha (wanawake kwenye makalio makubwa)
Duh! Kwa upande wangu cjaona kama alimaanisha wanawake kama ni mizigo ila mizigo maana alimaanisha (wanawake kwenye makalio makubwa)