Hivi ni ulimbukeni au uelewa mdogo?

Hivi ni ulimbukeni au uelewa mdogo?

dream100

Member
Joined
Jul 29, 2015
Posts
27
Reaction score
2
Najivunia kuwa muafrica pia najivunia rangi yangu ya kiafrica na sitamani kujibadirisha rangi yangu.

Je wewe unayejibadirisha kwa rangi ya dukani ni urimbukeni au?

Au wanaume chanzo cha mdada kujibadilisha rangi yake

yako tafadhari.
 
Clalamiki bari naona wadada wengi awako na rangi zao natural so bd natafakari juu ya ili cpati jibu ndomana naitaji ushauri na maoni
 
dream100 ni chaguzi zawatu .. amejikuta mweusi lakain anatamani weupe .. kwa hiyo ni chaguzi tu
 
Last edited by a moderator:
Mwafrika
Kiafrika
Sitamani
Kujibadilisha
Wewe
Unaejibadilisha
Ulimbukeni
Tafadhali


Najivunia kuwa muafrica pia najivunia rangi yangu ya kiafrica na ctamani kujibadirisha rangi yangu. Je ww unaejibadirisha kwa rangi ya dukani ni urimbukeni au?? Au wanaume chanzo cha mdada kujibadilisha rangi yake. Maoni yako tafadhari

Anyway.....

Habari yako
 
Ushauri na maoni unayoyataka yatakusaidia nini????

Clalamiki bari naona wadada wengi awako na rangi zao natural so bd natafakari juu ya ili cpati jibu ndomana naitaji ushauri na maoni

Anyway, hao wadada wakija na wenyewe wanaweza kulalamika kuhusu mwandiko wako......

Clalamiki = silalamiki
Bari = bali
Awako = hawako
Cpati = sipati
Ndomana= ndio maana
Naitaji = nahitaji
Bd =bado
 
Hawajiamin na hawajui kua black is beauty
 
Dada karibu JF
hii thread yako ya pili na haijulikani unalalamika nini haswa
karibu JF take it slow

Ushauri na maoni unayoyataka yatakusaidia nini????



Anyway, hao wadada wakija na wenyewe wanaweza kulalamika kuhusu mwandiko wako......

Clalamiki = silalamiki
Bari = bali
Awako = hawako
Cpati = sipati
Ndomana= ndio maana
Naitaji = nahitaji
Bd =bado

Aiseeeeee.....!
 
Vizur kurijua ilo ndugu CCA ndege wafananao uruka kimakundi
 
Last edited by a moderator:
Ushauri na maoni unayoyataka yatakusaidia nini????



Anyway, hao wadada wakija na wenyewe wanaweza kulalamika kuhusu mwandiko wako......

Clalamiki = silalamiki
Bari = bali
Awako = hawako
Cpati = sipati
Ndomana= ndio maana
Naitaji = nahitaji
Bd =bado



Ugeni tu huu
akizoea ataeleweka
 
Pole sana dada, nicheki pm nikupe uzoefu! mtoto mzuri hupaswi kufanyiwa hivyo! pole sana mrembo, by the way nami nilikuwa namtafuta mwenye sifa kama zako! Mwaaaaa!!!!!
 
Ushauri na maoni unayoyataka yatakusaidia nini????



Anyway, hao wadada wakija na wenyewe wanaweza kulalamika kuhusu mwandiko wako......

Clalamiki = silalamiki
Bari = bali
Awako = hawako
Cpati = sipati
Ndomana= ndio maana
Naitaji = nahitaji
Bd =bado

Umemuonaeee.
 
Pole sana dada, nicheki pm nikupe uzoefu! mtoto mzuri hupaswi kufanyiwa hivyo! pole sana mrembo, by the way nami nilikuwa namtafuta mwenye sifa kama zako! Mwaaaaa!!!!!
Mzee wa fursa kwi kwi kwi
 
Nenda kwanza kajifunze kuandika ...ndo uje..by the way...(sio mtu akijichubua anaukimbia uafrika.by fid q)
 
Kujichubua ni hobbies za watu so me siwezi kuingilia hobby ya mtu siku madhara yakimkuta ataeleza vizuri alikuwa anataka kugundua nini maana naona hata wakaka hili janga limewaangukiwa nao wanajichubua sasa mie sielewi
 
Clalamiki bari naona wadada wengi awako na rangi zao natural so bd natafakari juu ya ili cpati jibu ndomana naitaji ushauri na maoni

We fuata yako mkuu kwani wanavunja sheria za nchi??
 
Back
Top Bottom