Hivi ni udhamini au campaign

Hivi ni udhamini au campaign

Baba Hellen

JF-Expert Member
Joined
Jul 2, 2012
Posts
763
Reaction score
91
Sijui nini kinachoendelea ndani ya ccm nikupuuzwa kwa viongozi wakuu ndani ya chama au ni baadhi ya wanachama kujiona wao ni muhimu sanaa hata wakifanya kosa hakuna wakumzuia. Watangaza nia baadhi ni jeuri sana hii inatoa picha jinsi wasivyofaa kupewa hatamu yakuongoza nchi hii ni tishio kwa jamii yetu.
 
Lowassa situkwambwa ni jeuri bali ni mkiukaji mkubwa wataratibu kwahili linalo endelea ndani ya chama ni kuidhihirishia jamii ya wa Tanzania kuwa ccm inakufa
 
Na huyu mtu wa hivi ni hatari sana akipewa uongozi, Makongoro alisema mtu anayeamua makusudi kuzivunja kanuni na taratibu wakati alihusika kuzitunga huyu mtu akipewa uongozi atataka hata kuibadiri katiba ili atawale kidikteta ..na huu sasa ndo ukweli unatimia
 
Kiongozi wa ccm kuweni makini Na taratibu za chama sheria inamtaka mtu apate wadhamini 30 tu kila mkoa ili kwa mikoa 15 apate wadhamini 450 Na ndio fomu zinavyoonyesha swali kwanini mtu anatafuta wadhamini zaidi ya sheria inavyotaka huo ni ukiukwaji wa makusudi wa sheria za chama ni imani ya wanachama kuona wote walioenda kinyume Na sheria wanachukuliwa hatua vinginevyo tunahamia ukawa
 
Sijui nini kinachoendelea ndani ya ccm nikupuuzwa kwa viongozi wakuu ndani ya chama au ni baadhi ya wanachama kujiona wao ni muhimu sanaa hata wakifanya kosa hakuna wakumzuia. Watangaza nia baadhi ni jeuri sana hii inatoa picha jinsi wasivyofaa kupewa hatamu yakuongoza nchi hii ni tishio kwa jamii yetu.
Lowassa alianza kuvunja taratibu za chama tangu muda mrefu tu,jina lake tumishalikata,anatudhalilisha sisi wanachama wa CCM
 
Nikweli hili ni tatizo
Mkuu ili kuwapata hao wadhamini si lazima ufanye kampeni? Au unawakuta wapo tayari chama kimekuandalia? Maana juzi huko katavi Nyalandu alikosa wadhamini nadhani hakufanya kampeni kuwapata!!
 
Na huyu mtu wa hivi ni hatari sana akipewa uongozi, Makongoro alisema mtu anayeamua makusudi kuzivunja kanuni na taratibu wakati alihusika kuzitunga huyu mtu akipewa uongozi atataka hata kuibadiri katiba ili atawale kidikteta ..na huu sasa ndo ukweli unatimia
makongoro ndio mdudu gani???
 
Kiongozi wa ccm kuweni makini Na taratibu za chama sheria inamtaka mtu apate wadhamini 30 tu kila mkoa ili kwa mikoa 15 apate wadhamini 450 Na ndio fomu zinavyoonyesha swali kwanini mtu anatafuta wadhamini zaidi ya sheria inavyotaka huo ni ukiukwaji wa makusudi wa sheria za chama ni imani ya wanachama kuona wote walioenda kinyume Na sheria wanachukuliwa hatua vinginevyo tunahamia ukawa

Kambi yenu imeishiwa verse unatishia kuhamia UKAWA!!! unachekesha😀😀😀
 
Kiongozi wa ccm kuweni makini Na taratibu za chama sheria inamtaka mtu apate wadhamini 30 tu kila mkoa ili kwa mikoa 15 apate wadhamini 450 Na ndio fomu zinavyoonyesha swali kwanini mtu anatafuta wadhamini zaidi ya sheria inavyotaka huo ni ukiukwaji wa makusudi wa sheria za chama ni imani ya wanachama kuona wote walioenda kinyume Na sheria wanachukuliwa hatua vinginevyo tunahamia ukawa

Hahah hivi hizo sheria za Chama zimesema ukipata wadhamini zaid ya 30 kuna hatua zozote zinatakiwa kuchukuliwa dhidi ya mgombea huyo au mnabwabwaja tu hapa, hahah!
 
Mwaka huu ndo nitaamini kama chama hiki kina meno au kipo na ukibogoyo......huu mfupa ukitafunika ndo nitajua kama ni chama chenye jembe la kulimia na nyundo ya kugongea kweli....
 
Lowassa situkwambwa ni jeuri bali ni mkiukaji mkubwa wataratibu kwahili linalo endelea ndani ya chama ni kuidhihirishia jamii ya wa Tanzania kuwa ccm inakufa

ndo tuseme lowassa peke yake ambaye anafanya hivyo na kama sio is it fair to only mention him
 
Mkuu ili kuwapata hao wadhamini si lazima ufanye kampeni? Au unawakuta wapo tayari chama kimekuandalia? Maana juzi huko katavi Nyalandu alikosa wadhamini nadhani hakufanya kampeni kuwapata!!

hadi anakosa wadhamini sasa apata kura kweli huyo
 
Wao wanadai kuwa watu wanajitokeza wenyewe sasa yeye anashindwa kuwakatalia
 
Wanatembelea mikoa yote wakati inayotakiwa ni 15 tu! Kila mkoa wanakopita wanadhaminiwa na maelfu, wakati wanaohitajika ni 30 tu!
 
Lowassa kaamua kufanya yote mawili kwa wakati mmoja, kusaka wadhamini na sehemu kubwa kufanya kampeni za urais
 
Baba Hellen heshima kwako mkuu?
Je umepata kadi ya kurarua ccm?
 
Last edited by a moderator:
majibu yake ni kwamba piga idadi ya wadhamini anaopata kila mkoa zidisha mara mikoa yote .ukumbuke hao hao ndio wapiga kura jibu utalipata siasa ni sayansi ndugu.
 
Back
Top Bottom